Tabia za Makondakta zinazonikera

Tabia za Makondakta zinazonikera

I wish angetokea konda hapa naye akaeleza kero zake kuhusu abiria. Kuna abiria wanakera jamani mweh!
Ni kweli kabisa,abiria wanywa mataputapu ndio huwa wanasunbua sana wanaongea mwanzo wa safari hadi mwisho wa safari halafu nauli hawatoi.
 
  • Thanks
Reactions: mk4
Ukimwambie asiongeze abiria wengine ndani kuna joto "anakwambia ungepanda friji"
Anakudnganya kuna siti ukipanda unakuta hamna ukimuuliza anakujibu "ungekuja na stuli toka nyumbani"

SINA IMANI NA UKAWA

Kama huna imani na ukawa sisi tufanye nini.....?????..hatukujui...hutujui SHAURI YAKO
 
1. Unalipa nauli lets say unatoa elfu moja, na nauli ni mia nne, konda anakuuliza wangapi? Kama ninao watu/ mtu wa kumlipia si ningesema mweneyewe!

2. Unatoa shilingi elfu kumi, konda anaanza kulalamika oo unatoa hela kubwa mara kimepanda kimeshuka na maneno machafu kibao. Mimi akiniuliza huna hela ndogo hapo mpaka utoe hii, namwambia ninayo nachukua elfu kumi yangu nampa mia, maana ndio hela ndogo niliyonayo, konda anaona anadharauliwa. Unanipangiaje pesa ya kutumia? Kama huna chenchi mimi inanihusu nini?

3. Unatoa nauli mathalani elfu 2, 5 au 10, konda hakupi chenchi anasubiria sijui usahau ili a-make super profit! Huwezi fanikiwa kwa kuiba vi elfu mbili mbili vya abiria.

Ongezea na wewe kero zako.
vp ...kuhusu kuwapapasa wa mama/dada?
 
Kuna mmoja aliulizwa mbona umesema gari nyeupe wakati imejaa,
Akajibu shuka uangalie rangi ya gari!!!
Teh teh teh teh wanamajibu mabaya mno usipokuwa makini wanakuharibia siku kirahisi kabisa.
 
Ndo maana mimi wakisahau kunidai nauli nakausha, mikonda ina mitusi mpaka shetwaini inaogopa!
 
Ukimwambie asiongeze abiria wengine ndani kuna joto "anakwambia ungepanda friji"
Anakudnganya kuna siti ukipanda unakuta hamna ukimuuliza anakujibu "ungekuja na stuli toka nyumbani"

SINA IMANI NA UKAWA

Mkuu kwenye red hapo nimecheka sana hadi nimetokwa na machozi daah. Eti ungepanda friji.
 
Ndo maana mimi wakisahau kunidai nauli nakausha, mikonda ina mitusi mpaka shetwaini inaogopa!
Ndio maana yake coz hata wao wakichukua hela kubwa hujikausha ili abiria asahau chenchi yake,na ukisahau kweli imekula kwako.
 
Mie hata chenji iwe 50 lazima nikomae nayo
 
Kuna mmoja aliulizwa mbona umesema gari nyeupe wakati imejaa,
Akajibu shuka uangalie rangi ya gari!!!

ahaaaa...
kumbe makonda nao muda mwingine wanatumia
falsafa ya hali ya juu sana kujibu
baadhi ya maswali ya abiria.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom