Tabia za Makondakta zinazonikera

Tabia za Makondakta zinazonikera

Konda kupiga debe gari ya g/mboto makumbusho mida ya jioni kusema mwisho buguruni wakati inatakiwa kufika g/mboto
 
Unamwonesha watu uliwalipia nauli baada ya kukupita anaenda kuwadai tena,.
 
Konda kuthamini abiria anaye panda kuliko anaye shuka.
Ukiwa haujapanda utaitwa majina mazuri kibaao mara anti,shangazi,mjomba,bosi,mkuu,tajiri,kaka,dada,dogo janja,bimkubwa,bamkwe,mamkwe,shemeji n.k. Ila ukipanda tu utasikia shika bomba,sogea upande wa pili,usisimame kama unataka kupiga picha yaani maneno ya karaha.

Abiria ana heshima akiwa kituoni,ukipanda daladala tu ujue umeiacha heshima yako pale mpaka keshoooooooo!
 
Hatar zaidi ni pale konda amevaa suluali mlegezo, boxer inaonekana halafu anatoa kichwa nje huku makalio yakiwa nje , boxer inanuka uvundo gari zima
 
unapita zako njia konda anakuuliza "unaenda"? Me huwa nawajibu "kwani ww unaenda"? hapo lazima niambulie mitusi au misonyo
 
Ukiwa haujapanda utaitwa majina mazuri kibaao mara anti,shangazi,mjomba,bosi,mkuu,tajiri,kaka,dada,dogo janja,bimkubwa,bamkwe,mamkwe,shemeji n.k. Ila ukipanda tu utasikia shika bomba,sogea upande wa pili,usisimame kama unataka kupiga picha yaani maneno ya karaha.

Abiria ana heshima akiwa kituoni,ukipanda daladala tu ujue umeiacha heshima yako pale mpaka keshoooooooo!

Line mbili kama simu ya mchina jisogeze hapo ..
 
ahaaaa...
kumbe makonda nao muda mwingine wanatumia
falsafa ya hali ya juu sana kujibu
baadhi ya maswali ya abiria.

Sana yule konda alikua na majibu hatari halafu kama unashuka sayansi anasema hamna kituo anakushusha makumbusho yaani anaunganisha vituo bila wasiwasi,
Ukimuuliza anakwambia twende mpaka mwisho nauli ya kurudia ntakupa
 
Last edited by a moderator:
Sana yule konda alikua na majibu hatari halafu kama unashuka sayansi anasema hamna kituo anakushusha makumbusho yaani anaunganisha vituo bila wasiwasi,
Ukimuuliza anakwambia twende mpaka mwisho nauli ya kurudia ntakupa
Khaaaaa! Kwahiyo mtu ufanye kazi ya kuzunguka na konda?
 
unapita zako njia konda anakuuliza "unaenda"? Me huwa nawajibu "kwani ww unaenda"? hapo lazima niambulie mitusi au misonyo
Jibu zuri sana hili,na mimi nitakuwa nalitumia.
 
Angalia ITV wanarusha live toka Mwanza....utakuwa na Imani nao tu.Hakuna dawa nzuri kama muda...na ukiambiwa na daktari moja mara tatu usigeuze ukafanya tatu mara moja.....muda au time will tell.
 
Mkuu we acha tu ishanitokea enzi hizo sijanunua kagari kangu kwa mkopo
SINA IMANI NA UKAWA
Hongera mkuu,ngoja na mimi nikomae angalau kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 ninunue ka-vitz.
 
Angalia ITV wanarusha live toka Mwanza....utakuwa na Imani nao tu.Hakuna dawa nzuri kama muda...na ukiambiwa na daktari moja mara tatu usigeuze ukafanya tatu mara moja.....muda au time will tell.
Mmmmmmh!
 
Chennji zinauzwa wanafanyaga tuuh makusudi yan
Wanakera sana hawa jamaa,naona akina mama wameamua kuchangamkia fursa ya ukonda huenda kero zikapungua kama si kuisha kabisha endapo akina mama wengi watajitokeza kuwa-replace makonda wanaume.
 
Back
Top Bottom