barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
ABIRIA:I wish angetokea konda hapa naye akaeleza kero zake kuhusu abiria. Kuna abiria wanakera jamani mweh!
-Unakuta umepigania daladala hapo kitu darajani ubungo kwenda Gomz, ile kuingia tu unakuta eti abiria anadai kawahi siti huku kaweka kipochi au liboksi lake ktk siti kupitia dirishani, ukikaa anazusha!!
-jitu limekaa siti moja na wewe alafu linaongea ktk simu lwa sauti utadhani linaongea na mtu yupo Rorya.
-Safari ndefu ktk foleni, jimbaba linasinzia alafu linanilalia begani, SIPENDI KWELI.