Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

Wewe mtoto wa kiume acha ubahili. ukiwa bahili tegemea haya:
  • kubaki kutuita shemeji
  • ukibahatika kupata ujue utamegewa sanaaaaaaaaa!
hahaaaha! ni hivo Bullgod unatakiwa ujitutumue ili kumiliki kipenda roho.

Kuna mtu kasema hapojuu na nukuu binfi sijawa tumia hela kupata dem wewe unmchukuliaje?
 
Mkuu,nawe waudhi.Kila akijibu hovyo nawe jibu "me too" au "mmhf" au "y" au "....." au "?????" au "xyz" au "nkt" mkuu!
 
Haya bhanaa mii simooo

avatar155213_5.gif
 
Mie huwa sipendi messages za ku-forwardiwa aisee yaani hata sihangaiki nayo mazeee na ukunijibu k na-delete namba yako kabisa.

Bahati mbaya si-socialize na watu na aina hii sana sana watakuwa teenagers tu.
 
Back
Top Bottom