Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,653
Habari wanajamvi, hii tabia iko hasa kwa wanawake naamini kuwa every one is different ila kuna vitu vingine huwa vinaboa

1)Unakuta mtu unamuandikia mwanamke text ndefu ya maana (sio love text) umejielezea vizuri na text inahitaji long explanation lakini mtu ana kujibu "k"

2)Au unakuta kwenye makundi ya whatsapp demu akichangia anaandika maneno mawili tu hadi watu wanashindwa kuelewa kuwa kuwa huyu mtu anamaanisha nini.

3)Au unamtext demu leo na unamuona yuko online lakini anakuja kukujibu massege yako baada ya 9hrs au anajibu kesho yake.Na sio kwamba yuko busy sana au massege yako haina maana, yani ni basi tuu

Sasa sijui wengi wao wanafanya hivyo ili waonekane expensive sana au?
 
mesage zako ndefu sana alafu content ni moja tu.... kiukweli kuna wanaume wanamaandiko marefu hayana maana massage ya hela iwe ndefu ya mtongozo ndefu loh... hujui ukiwa maneno mengi sana jua unadharaulika
 
sasa unataka uandikiwe sms ndeeefuu ya majibu ya kudanganywa na kona kona kibao? Hivi mkoje mkirahisishiwa umnalalamika,mkizungushwa mnalalamika na kama umemuona yupo online na sms yako ajibu si umcall!
 
Kama mtu hana muda na wewe utamlazimisha?! JARIBU KWINGINE.
 
hahaha wengne wanaboa mtu unamuulza kitu cha maana akajibu K, sa hiyo K manake nini,,ndo mana watu kama hao nawapeleka kule kwenye blacklist tu
 
mesage zako ndefu sana alafu content ni moja tu.... kiukweli kuna wanaume wanamaandiko marefu hayana maana massage ya hela iwe ndefu ya mtongozo ndefu loh... hujui ukiwa maneno mengi sana jua unadharaulika

..........
 
hahahaaaaaa! sasa wewe muonyeshe kuwa pesa ni kitu kidogo sana na unaweza kuushiriki uxpensive wake.

mrushie kilaki 1 alafu mwambieumemtumia anunue BATOOK kaa kama sec5, uone atakavyo kutext kila saa, hata usiku wa manane kukuuliza "hivi kaka uliniambia unamtu vilee au nimejichanganya? mimi mwenzio nalala peke yangu, alafu naogopa". ukifanya hilo na asipo reply niambie,nitaenda kuogea ubungo mataa saa mbili asubuhi.
 
hahahaaaaaa! sasa wewe muonyeshe kuwa pesa ni kitu kidogo sana na unaweza kuushiriki uxpensive wake.

mrushie kilaki 1 alafu mwambieumemtumia anunue BATOOK kaa kama sec5, uone atakavyo kutext kila saa, hata usiku wa manane kukuuliza "hivi kaka uliniambia unamtu vilee au nimejichanganya? mimi mwenzio nalala peke yangu, alafu naogopa". ukifanya hilo na asipo reply niambie,nitaenda kuogea ubungo mataa saa mbili asubuhi.

Mnapenda vya bure??
 
wewe mwanamke mnafiki wewe

matusi yote nakubaligi lakini hili naomba ufafanuzi mkuu unafki wangu uuu wapi?

ni tusi kubwa sana .. likifuatiwa na tusi shauri yako haya maneno mawwli ukiniita lazima unipe maelezo in details ... naomba usininyime raha
 
matusi yote nakubaligi lakini hili naomba ufafanuzi mkuu unafki wangu uuu wapi?

ni tusi kubwa sana .. likifuatiwa na tusi shauri yako haya maneno mawwli ukiniita lazima unipe maelezo in details ... naomba usininyime raha

sikujua ni tusi kwako but nimeliongea katika hali ya utani. so kama umekaraika am sorry
 
sikujua ni tusi kwako but nimeliongea katika hali ya utani. so kama umekaraika am sorry

If its real okey dont mention those two words to me .. uminifanya mood ibadilike . ....
 
Wewe mtoto wa kiume acha ubahili. ukiwa bahili tegemea haya:
  • kubaki kutuita shemeji
  • ukibahatika kupata ujue utamegewa sanaaaaaaaaa!
hahaaaha! ni hivo Bullgod unatakiwa ujitutumue ili kumiliki kipenda roho.
Kumegewa siku hizi ni kama fashion. Unaweza kutoa pesa kibao lakini bado ukamegewa na mtu ambaye hajatoa hata senti tano. Sometimes kinacho matter ni namna bora ya kukitumia kigegedeo.
 
Mkuu tuko tofauti.... Huwezi mbadilisha mtu awe vile unavyotaka wewe.... Binafsi sio mpenzi wa kuchat so labda siku hiyo nimeshika simu mkonon nikiona sms ndio niijibu la sivyo ni kero kwa mwingine
 
Back
Top Bottom