Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

pole kwa yote, hilo sio wanawake tuu bali hata wanaume wapo wengi tuu, kwahiyo ni tabia ya mtu na sio jinsia, binafsi huwa nakwazika, maana mtu anakuwa km kadharau ulichoandika
 
hahahaaaaaa! sasa wewe muonyeshe kuwa pesa ni kitu kidogo sana na unaweza kuushiriki uxpensive wake.

mrushie kilaki 1 alafu mwambieumemtumia anunue BATOOK kaa kama sec5, uone atakavyo kutext kila saa, hata usiku wa manane kukuuliza "hivi kaka uliniambia unamtu vilee au nimejichanganya? mimi mwenzio nalala peke yangu, alafu naogopa". ukifanya hilo na asipo reply niambie,nitaenda kuogea ubungo mataa saa mbili asubuhi.

Hatari sana aisee laki moja ya BATOOK ha ha ha.
 
hahahaaaaaa! sasa wewe muonyeshe kuwa pesa ni kitu kidogo sana na unaweza kuushiriki uxpensive wake.

mrushie kilaki 1 alafu mwambieumemtumia anunue BATOOK kaa kama sec5, uone atakavyo kutext kila saa, hata usiku wa manane kukuuliza "hivi kaka uliniambia unamtu vilee au nimejichanganya? mimi mwenzio nalala peke yangu, alafu naogopa". ukifanya hilo na asipo reply niambie,nitaenda kuogea ubungo mataa saa mbili asubuhi.

Nikupe sh ngapi mwaya tufanye yetu
 
mesage zako ndefu sana alafu content ni moja tu.... kiukweli kuna wanaume wanamaandiko marefu hayana maana massage ya hela iwe ndefu ya mtongozo ndefu loh... hujui ukiwa maneno mengi sana jua unadharaulika

Ukiona hivyo jua unaboa pengine au umekinaiwa, jifunze kusoma alama za nyakati.

Hiyo iko kawaida sana akijikuta wa nusu nusu mie warobo robo....sasa mim nataka kuuliza na mwanaume kujibu hivyo inakuwaje tena anamjibu mwanaume mwenzie ni kwamba sio riziki au inakuwaje.....
 
Hiyo iko kawaida sana akijikuta wa nusu nusu mie warobo robo....sasa mim nataka kuuliza na mwanaume kujibu hivyo inakuwaje tena anamjibu mwanaume mwenzie ni kwamba sio riziki au inakuwaje.....

Mwanaume hawez kunijibu hivyo kwa kuwa siandiki mesaji ndefu.. nisichokipenda siwezi mfanyia mwenzangu
 
Mie pia nipo hivyo sipend kuchat chat afu ikute unanichatisha no sense ndo hata ukinisalimia naigno
 
Habari wanajamvi, hii tabia iko hasa kwa wanawake naamini kuwa every one is different ila kuna vitu vingine huwa vinaboa

1)Unakuta mtu unamuandikia mwanamke text ndefu ya maana (sio love text) umejielezea vizuri na text inahitaji long explanation lakini mtu ana kujibu "k"

2)Au unakuta kwenye makundi ya whatsapp demu akichangia anaandika maneno mawili tu hadi watu wanashindwa kuelewa kuwa kuwa huyu mtu anamaanisha nini.

3)Au unamtext demu leo na unamuona yuko online lakini anakuja kukujibu massege yako baada ya 9hrs au anajibu kesho yake.Na sio kwamba yuko busy sana au massege yako haina maana, yani ni basi tuu

Sasa sijui wengi wao wanafanya hivyo ili waonekane expensive sana au?

Hapana na SIYO kweli!
Ukiona Mwanamke anakufanyia hivyo yaani hakujibu viujumbe vyako ujue hakufagilii na wewe unataka tu kulazimisha sasa anashindwa kukupa za usoni hivyo anajaribu kutokukujibu ili upate ujumbe na umwache apumue!

Wanawake ni Watu wazuri sana na Mungu kawabariki na aendelee kuwabariki, wewe ndiyo unashida unashindwa kusoma alama!

 
Si ni hao watoto wenzio? Uliza baba zako kama tunawajibu kimkato.
 
Ulimbukeni wakati mwingne!!
Lkn mda mwingne % kubwa ni LAZY at thinking, they rush and don't want to complicate matters!!!
Sababu nyingne ukiona mwanmke WA dizaini hyo ujue hakupendi au la ww amekufanya mshika pembe chukua hatua haraka!!!

Hayo tuu...
 
mesage zako ndefu sana alafu content ni moja tu.... kiukweli kuna wanaume wanamaandiko marefu hayana maana massage ya hela iwe ndefu ya mtongozo ndefu loh... hujui ukiwa maneno mengi sana jua unadharaulika

Nawee umo kumbe
 
Back
Top Bottom