Okey... sasaa uache kuandika message zako kama vitabu masifa ya uongo mengi lakini lengo unataka papuchi
siku nikiipata hiyo papuchi utalala kwenye feni
Okey... sasaa uache kuandika message zako kama vitabu masifa ya uongo mengi lakini lengo unataka papuchi
Habari wanajamvi, hii tabia iko hasa kwa wanawake naamini kuwa every one is different ila kuna vitu vingine huwa vinaboa
1)Unakuta mtu unamuandikia mwanamke text ndefu ya maana (sio love text) umejielezea vizuri na text inahitaji long explanation lakini mtu ana kujibu "k"
2)Au unakuta kwenye makundi ya whatsapp demu akichangia anaandika maneno mawili tu hadi watu wanashindwa kuelewa kuwa kuwa huyu mtu anamaanisha nini.
3)Au unamtext demu leo na unamuona yuko online lakini anakuja kukujibu massege yako baada ya 9hrs au anajibu kesho yake.Na sio kwamba yuko busy sana au massege yako haina maana, yani ni basi tuu
Sasa sijui wengi wao wanafanya hivyo ili waonekane expensive sana au?
mesage zako ndefu sana alafu content ni moja tu.... Kiukweli kuna wanaume wanamaandiko marefu hayana maana massage ya hela iwe ndefu ya mtongozo ndefu loh... Hujui ukiwa maneno mengi sana jua unadharaulika
If its real okey dont mention those two words to me .. uminifanya mood ibadilike . ....
Mkuu tuko tofauti.... Huwezi mbadilisha mtu awe vile unavyotaka wewe.... Binafsi sio mpenzi wa kuchat so labda siku hiyo nimeshika simu mkonon nikiona sms ndio niijibu la sivyo ni kero kwa mwingine
ukiona hvyo jua hana interest na wewe kwa hyo hajichoshi... huelew lugha ya picha kama maneneo yamekushinda jaman. pole thou.Habari wanajamvi, hii tabia iko hasa kwa wanawake naamini kuwa every one is different ila kuna vitu vingine huwa vinaboa
1)Unakuta mtu unamuandikia mwanamke text ndefu ya maana (sio love text) umejielezea vizuri na text inahitaji long explanation lakini mtu ana kujibu "k"
2)Au unakuta kwenye makundi ya whatsapp demu akichangia anaandika maneno mawili tu hadi watu wanashindwa kuelewa kuwa kuwa huyu mtu anamaanisha nini.
3)Au unamtext demu leo na unamuona yuko online lakini anakuja kukujibu massege yako baada ya 9hrs au anajibu kesho yake.Na sio kwamba yuko busy sana au massege yako haina maana, yani ni basi tuu
Sasa sijui wengi wao wanafanya hivyo ili waonekane expensive sana au?
Mood akibadilika mchkue hassan
tAFUTA HELA, YOTE HAYO YATAISHA TU MKUU
siku nikiipata hiyo papuchi utalala kwenye feni
hiyo tabia sio wadada tuu hata wanaume pia....ishu n mtu anakua hataki kukujibu