miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,110
Mmmmmmmhhhh....shauri yako hater
i hate u hater
Mmmmmmmhhhh....shauri yako hater
i hate u hater
I love you so much hater
:couch2::angry:
Habari wanajamvi, hii tabia iko hasa kwa wanawake naamini kuwa every one is different ila kuna vitu vingine huwa vinaboa
1)Unakuta mtu unamuandikia mwanamke text ndefu ya maana (sio love text) umejielezea vizuri na text inahitaji long explanation lakini mtu ana kujibu "k"
2)Au unakuta kwenye makundi ya whatsapp demu akichangia anaandika maneno mawili tu hadi watu wanashindwa kuelewa kuwa kuwa huyu mtu anamaanisha nini.
3)Au unamtext demu leo na unamuona yuko online lakini anakuja kukujibu massege yako baada ya 9hrs au anajibu kesho yake.Na sio kwamba yuko busy sana au massege yako haina maana, yani ni basi tuu
Sasa sijui wengi wao wanafanya hivyo ili waonekane expensive sana au?