Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

Tabia za kujibu text wanawake walizonazo zinazokera

maneno mengi ya nini wewe tumia BAKORA yako vizuri utaona kila dakika unapokea message mpka ziatakuboa😛oa
 
Hao wanawake unaowasiliana nao kwa message una mahusiano nao gani? Mama, dada, rafiki, jirani, au yeyote?
 
Hao wanawake unaowasiliana nao kwa message una mahusiano nao gani? Mama, dada, rafiki, jirani, au yeyote?

ndio anaowamendea ..!! unadhani mama.dada akikujibu "k" utawaza hata?? unakuta kuna demu beki hazikabi alafu anamletea majibu yake ya kishamba lazima achafukwe
 
Ukiwa na hela nakuachia papuchi mpaka naiweka kwenye frezer

I wish hata nikuone kwa bahati mbaya bila wewe kujua kwenye daladala...bt I bet u might be beautifuly and sophisticated creature!

Unajua saana kutwist mind za minjemba kama mpaka sasa utakua huna njemba yenye mkwanja dadaa baasi....
 
I wish hata nikuone kwa bahati mbaya bila wewe kujua kwenye daladala...bt I bet u might be beautifuly and sophisticated creature!

Unajua saana kutwist mind za minjemba kama mpaka sasa utakua huna njemba yenye mkwanja dadaa baasi....
ha ha ha ah a tumia daladala za mwananyamala kuanzia sa kumi na mbili utaniona
 
ha ha ha ah a tumia daladala za mwananyamala kuanzia sa kumi na mbili utaniona

Usije nifanya nikaonekana mwendawazimu mamii, nikawa natoa macho kama kinyonga anavuka barabara ndani ya daladala za mwananyamala kwa kumuangalia na kumtabasamia kila abiria mrembo wa kike nikiamini miss chagga.

Awww!! Sorry yaleyale yanayosemwa maandishi mengi kama wosia wa Teacher Kambarage, nisije ishie "k". Lol! Nitakugaya mpaka mello atakapoiuza JF.
 
Usije nifanya nikaonekana mwendawazimu mamii, nikawa natoa macho kama kinyonga anavuka barabara ndani ya daladala za mwananyamala kwa kumuangalia na kumtabasamia kila abiria mrembo wa kike nikiamini miss chagga.

Awww!! Sorry yaleyale yanayosemwa maandishi mengi kama wosia wa Teacher Kambarage, nisije ishie "k". Lol! Nitakugaya mpaka mello atakapoiuza JF.
:angry: unasema ? acha usumbufu umeanza 😡
 
matusi yote nakubaligi lakini hili naomba ufafanuzi mkuu unafki wangu uuu wapi?

ni tusi kubwa sana .. likifuatiwa na tusi shauri yako haya maneno mawwli ukiniita lazima unipe maelezo in details ... naomba usininyime raha

Mmmmmmmhhhh....shauri yako hater
 
Back
Top Bottom