Tabia za Kitanzania zinazonikera...


hahahaaa! JF ni liwazo kubwa, mie kuepuka Mi stress iyo mitabia mibovu nimeigeuza Fursa ya kuwa kichekesho ili niongeze Afya ya Fahamu!
 
kujichokonoa meno na toothpick baada ya msosi tena mbali kabisa na restraunt/canteen/cafeteria huku ukiwa na wenzio mnapiga stroty kidogo baada ya masosi, basi mtu unakuta anaachama hadi mate yanaruka,inakera sana
 
kujichokonoa meno na toothpick baada ya msosi tena mbali kabisa na restraunt/canteen/cafeteria huku ukiwa na wenzio mnapiga stroty kidogo baada ya masosi, basi mtu unakuta anaachama hadi mate yanaruka,inakera sana

We Marrykate kupiga "stroty" ndiyo kufanya nini?
 
shosti unaemwamini, unamsimlia matatizo yako na yeye tena anaenda kumsimlia boyfriend wke aghrrrrrrrrrrr, basi inakuwa kama umetangazia umma
 
  1. wanaochokonoa pua haswa kwenye dala dala kisha wanapikicha uchafu wanatoa kwenye pua wala hawajali uchafu huo kama unakurukia...
  2. wanaotema mate hovyo ukitaka kuona pita asubuhi mitaa yote ya posta, kariakoo (Dar) yaani ni makohozi matupu sijui kama TB zitakwisha.
  3. Wanaopenda kudandia stori ama maongezi mnapokuwa kwenye foleni yoyote mathalan hospital etc
 

hahahahahahaha! NN umeua mbaya, kwamba namjua sana yule, toka maskuli yupo vilevile!
 
hahahahahahaha! NN umeua mbaya, kwamba namjua sana yule, toka maskuli yupo vilevile!

Yup...halafu sasa hata kukutana na wewe hawajawahi! Hawajui unafananaje....hata hawajui unaitwa nani...wanachojua ni habari za umbea tu wanazopeana.

Wajinga kabisa.
 
Yup...halafu sasa hata kukutana na wewe hawajawahi! Hawajui unafananaje....hata hawajui unaitwa nani...wanachojua ni habari za umbea tu wanazopeana.

Wajinga kabisa.

tena wambea haswaaaaa!!!!!! twende tuwasute. lol
 
Tabia nyingine ya hovyo ni ile ya watu kutupa kondom zilizotumika sehemu za wazi kama vile barabarani/njiani. INAKERA SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…