tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,956
- 25,347
- Thread starter
- #101
Subiri wenyewe waje mkuu....ukisikia aaaaaaaa ujue limempata mhusika.Wanawake wengi wa Tanzania hawajiamini kuhusu miili yako.
Utakuta ana
Rangi ya ngozi feki,
Kucha feki,
Kope feki,
Rangi ya mdomo feki,
Makalio feki,
Kucha feki,
Nywele feki,
Mapenzi feki.
Jiwe lililotupwa gizani, ukisikia kelele ujewe limempata mtu.