Hivi unaanzaje kujipaka ma makeup hadi unakuwa ka kinyago na kuwatisha watu mitaani?Hivi unaanzaje kujishughurisha na mwili wa mwenzio ambao haukuhusu na wala hakuombi hela ya kufanyia hayo anayoyafanya kwenye mwili wake??????
INASHANGAZA SANA
Makeup nipake mie kwenye USO wangu kwa gharama zangu wewe inakuhusu nini??Hivi unaanzaje kujipaka ma makeup hadi unakuwa ka kinyago na kuwatisha watu mitaani?
INASHANGAZI SANA.
Unawatisha watu kwa sura yako ka knyago baada ya kuvaa nywele na kucha za maiti na kupaka mi makeup uchwara yako. Paka hizo sumu zako halafu kaa ndani mwako uone kama kuna mtu atajishughulisha nawe.Makeup nipake mie kwenye USO wangu kwa gharama zangu wewe inakuhusu nini??
watu wa hivi ukiwaacha bila kuwaambia ni dhambiHivi unaanzaje kujishughurisha na mwili wa mwenzio ambao haukuhusu na wala hauhusiki na gharama za kufanyia hayo anayoyafanya kwenye mwili wake??????
INASHANGAZA SANA
Pendeza sana. Namna hii ndivyo wanawake wanavyotakiwa kuwa kuliko kuhangaika kujipaka sumu kila siku.
Utafiti unaonyesha wengi wenye tabia ya kujishughurisha na mambo ya watu yasiyowahusu hawanaga maendeleo.watu wa hivi ukiwaacha bila kuwaambia ni dhambi![]()
![]()
Ni kweli hata wanaoandika magazet ya Udaku hawana maendeleoUtafiti unaonyesha wengi wenye tabia ya kujishughurisha na mambo ya watu yasiyowahusu hawanaga maendeleo.

Mmiliki peke yake ndo Mwenye maendeleo, angalia kina Mateja na Imelda Mtema.Ni kweli hata wanaoandika magazet ya Udaku hawana maendeleo![]()
Mmiliki peke yake ndo Mwenye maendeleo, angalia kina Mateja na Imelda Mtema.

sawa ila BILA NYWELE FAKE UTAPENDEZA ZAIDI.Mwangalie Sudy Brown afu waangalie wenzie kina B12, watapata wapi muda wa kuwaza maendeleo yao binafsi wakati kutwa wako bize na maisha ya watu.sawa ila BILA NYWELE FAKE UTAPENDEZA ZAIDI.
kumbe hata wewe unafwatilia maisha yao!Mwangalie Sudy Brown afu waangalie wenzie kina B12, watapata wapi muda wa kuwaza maendeleo yao binafsi wakati kutwa wako bize na maisha ya watu.
bas huna maendeleoHivi nyie wanaume kutwa kulalamika. Hivi mnajua nasisi yako mengi yakwenu yanatukera hatuyaongei maana one man's meat is another man's poison kila mtu anakitu anakihitaji na pia kila mtu na choice yake. Tafteni pesa mtakuja kutupata sio kutumalizia stress mxuieee
Yes ndiyo maana nafahamu.kumbe hata wewe unafwatilia maisha yao!bas huna maendeleo
Na hili joto la Dar ata sielewi wanawezaje kubeba yale madude wiki nzima!Mwanamke anayetembea na toothpick mdomoni hata salamu simpi.
Mwanamke aliyesukia weaving linamuwasha kwa uchafu badala ya kulitoa anajipiga-piga kichwa kujikuna kila baada ya dakika 2.
Mwanamke wa aina hii akinisemesha simjibu kitu mpaka akatoe hizo nywele za maiti.
Yes ndiyo maana nafahamu.

kuwa mrembo bila nywele fake inawezekana lifanyie kaz hilo