Tabia za kinamama zinazoniudhi

Tabia za kinamama zinazoniudhi

kuwa mrembo bila nywele fake inawezekana lifanyie kaz hilo
Haya ni maneno ya Wanaume suruali mifuko haisomi namba, Mwanamke wake Urembo na Biblia yangu inaniambia hivyo maana ni pambo shurti liwake wake kumvutia mtazamaji, upo hapo babu....?

Haya muda wa kazi huu katafute hela upate ya kumpa Mkeo hata ya kusuka yeboyebo na kupaka rangi kucha.
 
Haya ni maneno ya Wanaume suruali mifuko haisomi namba, Mwanamke wake Urembo na Biblia yangu inaniambia hivyo maana ni pambo shurti liwake wake kumvutia mtazamaji, upo hapo babu....?

Haya muda wa kazi huu katafute hela upate ya kumpa Mkeo hata ya kusuka yeboyebo na kupaka rangi kucha.
735a673006477f44a5569822996abb67.jpg
 
Wangu nilimkataza kujikream, kucha ndefu , mikope bandia ,Ila Nywele kila wiki asuke maana Napenda mwanamke mwenye kusuka kila msuko nalipa hela maana b4 ni nilikuwa msusi wa nywele ,,siku zingine nakomaa mwenyewe huku tunacheza mpira nikiwa nasubiri round ,Huku nasuka,,Kwa kweli Napenda urembo ,, kucha napaka mwenyewe ,
1479103649456.jpg
 
Hivi nyie wanaume kutwa kulalamika. Hivi mnajua nasisi yako mengi yakwenu yanatukera hatuyaongei maana one man's meat is another man's poison kila mtu anakitu anakihitaji na pia kila mtu na choice yake. Tafteni pesa mtakuja kutupata sio kutumalizia stress mxuieee
1479103703016.jpg
 
Mmh! Ka kinyago cha mchina. Hv wanawake wanaojipamba hv wanakuwa wanawaza nini hasa? Na hao mabwana/waume zao hawatishwi na hizi sura kweli?
watu wa hivi ukiwaacha bila kuwaambia ni dhambi
0aabdf08d6aadd9b0e0ababae935ce05.jpg
4e7ade6a30b8991f7552338965edc275.jpg
J
 
Wanawake wengi wa Tanzania hawajiamini kuhusu miili yako.

Utakuta ana

Rangi ya ngozi feki,
Kucha feki,
Kope feki,
Rangi ya mdomo feki,
Makalio feki,
Kucha feki,
Nywele feki,
Mapenzi feki.


Jiwe lililotupwa gizani, ukisikia kelele ujewe limempata mtu.
La shaha mimi kama unavyo niona cna kitu chochote fake. Sema tu mmezidi gubu.
 
Utafiti unaonyesha wengi wenye tabia ya kujishughurisha na mambo ya watu yasiyowahusu hawanaga maendeleo.
Ni kweli hata wanaowashughulisha watu hawana maendeleo...ukiamua kuvaa kimini hadi chupi ikabaki nje unakuwa unawashughulisha watu na utakuwa huna maendeleo...pia heshima yako mbele ya jamii itashuka.
 
Hivi nyie wanaume kutwa kulalamika. Hivi mnajua nasisi yako mengi yakwenu yanatukera hatuyaongei maana one man's meat is another man's poison kila mtu anakitu anakihitaji na pia kila mtu na choice yake. Tafteni pesa mtakuja kutupata sio kutumalizia stress mxuieee
Tutafute pesa ili tukununue wewe??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom