Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

To each their own....,

Tena wangegawa kila siku kila sehemu duniani kote nadhani kama Binadamu tungeweza kutatua hitaji moja kubwa kati ya matatu ya mwanadamu (Chakula, Mavazi na Maradhi)
 
it's a ritual among arabs, no free meal. nyuma ya pazia kuna mambo mengi yanafanyika kuhusiana na hizo nyama wanazogawa.

waswahili na njaa zenu huwa hata hamjiulizi,mnapokea tu na kwenda kula na familia zenu.

kuna tajiri mmoja maarafu sana hapa tz(muarabu), kugawa nyama kwa wafanyakazi wake ni moja ya kafara zake. baadhi huwa hawapokei. hawaelewiii. Unajikuta unafanya kaz sana na hela unapata ila hutoki kimaisha hata uwe na nidhamu ya fedha
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
Ni udhalilishaji na kuwageuza watu wetu mafisi wasioweza kufunga au kununua nyama. Ni tabia chafu. Wenzetu wanatoa na wengne wanapokea. Hao wapokeaji watatoa lini na nini kama siyo utu wao? Hizi dini ni taasisi za kikoloni na kidhalilishaji tu
 
Walafo hiwa hawaelewiii. Unajikuta unafanya kaz sana na hela unapata ila hutoki kimaisha hata uwe na nidhamu ya fedha
miswahili inaelewa basi, wao wanaendekeza njaa tu.

wanadhani boss muarabu akigawa nyama bure kwa wafanyakazi wake, boss huyo anawapenda sana wafanyakazi hao.

hakuna vya bure katika dunia hii, kila huduma ina namna yake ya kuilipia. halafu vya bure vina gharama, gharama inaweza kuwa physical or spiritual.
 
Umepangilia maneno vizuri kama ni point kumbe ushuzi
Kuchinja kwa muumini ni ibada kama ibada nyingine alafu uislam misingi yake ni kugawa na kupeana sio uchoyo ndo mana mnatoaga meno ikifika eid na ramadhan muda wa ftar wengine hadi suhoor (daku) mnaamka na tunakula ote
huna akili.
 
Wabongo sijui mnataka nini,mkipewa nyama na wali hamtaki wakibeba wanyama hamtaki.
Mnapewa nyama kilo moja wanabeba twiga 50.
Kula uliwe
 
Mkuu

Ni simple TU

Mungu wa waislam anagawa vitu KWA WATU Mbali Mbali!

Lakini Mungu anaehubiriwa kwenye makanisa Mengi anakusanya vitu KWA WATU!

Chunguza ulete mrejesho mkuu

Japo YESU aliegawa Sana KWA watu kama samaki wale na mikate lakini watumishi na makanisa Mengi ya kileo yanakusanya kuliko kugawa KWA watu!!!!

Chunguza kwa MAKINI nilichoandika Hapa!!
Umeingia cha kike mwalimu. Hao jamaa wanagawa nyama ili kuchota nyota za watu.
Hakuna kingine hapo
 
Itoshe tu kusema,watu weusi tuna asili ya roho mbaya,fitna,uchawi na majungu!!imagine waarabu kugawa nyama na mchele tayar watu roho zinawauma ilihali hawachangii hata senti,at the same time kuna raia pia wanalalama kwanin matajiri,taasisi hawarudishi kwa jamii!!...waafrika tutafka tumechoka haswaa
 
Waislamu na uganga au kuloga ni kidole na kucha
 
Kama miaka nane iliyopita yupo kijana wangu mmoja alikuja na nyama kama kilo nne akasema amepewa msikitini 🤣

Niliona ni kitu cha ajabu, of course sikuila sijui hata iliishia wapi.😎😎
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
Inaitwa 'brain washing,' hawa watu ni wajanja sana, kwao hawana umoja hata kidogo ila wanakuja huku Afrika kuwateka watu wasiojitambua akili na kueneza dini yao, matokeo yake unakuta ndugu zetu (masheikh) wanatupiana laana za albadiri na kuuana kisa nyama za ngamia na tende za bure.
 
Back
Top Bottom