Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

[emoji23][emoji23][emoji23] af majini yao magumu sana kusikia [emoji23][emoji23][emoji23] ona wanawake wazuri wana majini kichwani waaarabu wamewaletea majini kisa utajiri hakuna cha utajiri wala nini wanaishia kununua kazu za 3000 pale kariakoo

Siwasemi vibaya ila vitu wanavyobeba humo kichwa + maisha vitawamaliza
 
Siwasemi vibaya ila vitu wanavyobeba humo kichwa + maisha vitawamaliza

[emoji23][emoji23][emoji23] ww unaona ni akili yao we fikilia jua la dar na joto la dar mtu anavaa juba mpka usoni anaonekana macho tu [emoji23][emoji23][emoji23] wanaungua sana na joto
 
Kwa uelewa wangu, sadaka anayotoa mtu kwa mtu mmoja mmoja au kikundi cha watu huwa inalenga moja kwa moja hitaji la wapewa sadaka.

Sadaka inayokuja kila siku ileile na kwa mazingira yaleyale bila kujali Mahitaji ya wapewa sadaka hiyo ni kafara.

Tuamke, tuache ujinga na urafi
 
hicho kiwanda kipo sehemu gani muongo we uwezo wa kusaidia hata ndugu zako wanao kuzunguka huna anae saidia unamchukia unakili kwe ww kama sio ushenzi nn

INIcho kiwanda kipo sehemu gani muongo we uwezo wa kusaidia hata ndugu zako wanao kuzunguka huna anae saidia unamchukia unakili kwe ww kama sio ushenzi nn
hicho kiwanda kipo sehemu gani muongo we uwezo wa kusaidia hata ndugu zako wanao kuzunguka huna anae saidia unamchukia unakili kwe ww kama sio ushenzi nn
HII NI DALILI MOJAWAPO YA WATU WALIOWAHI KULA NYAMA ZA MSAADA. NENDA UKAOMBEWE UVUNJE MAAGANO YA NYAMA ZA MISAADA
 
Akuna hasira mkuu ..Ila tu ni uwelewa wako mdogo .

Waarabu wanakuja na Nyama.

Wazungu wanakuja na chandalua na kondomu .
Na kuongeze wayahudi wanakuja na military intelligent!!!
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.

Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
Watoto wa kiume mnafurahia kupewa nyama na tende na waarabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli vijana wa kitanzania mna...... ......!!!!
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
Watoto wa kiume mnafurahia kupewa nyama na waraabu!!!!Ebu kuweni serious na maisha wadogo zangu
 
Lakini muda huo huo wanawatesa sana wadada wa kazi weusi, maarabu majitu ya ajabu kabisa
Unaongelea wadada wa kazi!!! Kwa taarifa yako wabongo ndo wanaongoza kwa roho mbaya kwa mabinti wa kazi tena ni hapa hapa nchini..
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
Kwa sababu wanaogopa sadaka isije kuangukia kwa ninyi Wagalatia!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ww unaona ni akili yao we fikilia jua la dar na joto la dar mtu anavaa juba mpka usoni anaonekana macho tu [emoji23][emoji23][emoji23] wanaungua sana na joto

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu

Ni simple TU

Mungu wa waislam anagawa vitu KWA WATU Mbali Mbali!

Lakini Mungu anaehubiriwa kwenye makanisa Mengi anakusanya vitu KWA WATU!

Chunguza ulete mrejesho mkuu

Japo YESU aliegawa Sana KWA watu kama samaki wale na mikate lakini watumishi na makanisa Mengi ya kileo yanakusanya kuliko kugawa KWA watu!!!!

Chunguza kwa MAKINI nilichoandika Hapa!!
Hili jambo la makanisa kutorudisha kwa jamii ni fikirishi sana,kuhusu sadaka naamini sadaka ya kuchinja(sio mifugo ya kisasa ) hufurahiwa zaidi na Muumbaji.Kuna andiko la mpeni Mungu yaliyo yake na kaisari (watawala) tuwalipe kodi maana fedha ni zao
 
Waislamu wooote ni watu wazuri sana!! bana weee! kwa misosi kariakoo kwakweli tunafaidi sana! hata km wanafanya matambiko kuna ubaya gani??

Mbona kanisani mnatoa hela ??? zikasaidie maskini?? muslamu yeye ananunua kabisaaa hadharani mje mle wooote!......tatizo mleta mada mchoyo/roho mbaya akiona wengine wanabarikiwa kwa kutoa sadaka!!
 
Ila Wakristo wana vituko kweli-kweli , hapa mnawakashifu waislamu lakini mali zao nyingine mnazitumia. Mnakunywa maziwa ya Asas, mnatumia unga wa Bakhresa, na mnapanda mabasi yao kama ABC, SHABIBY na AL-SAEDY.

Hizi taasisi zote za waislamu zinatolewa sadaka kwa mungu wao. Hivyo ukikataa nyama na mchele, kataa na mambo yao mengine ambayo wanayatolea sadaka.

Anzisheni viwanda vyenu na taasisi zenu za Kikrusto tufahamu moja kwamba ninyi meamua kufuata Torati ya Musa, kutoshirikiana na mataifa...

Dini ni chombo hatari mno kama utakiendesha vibaya...
 
Ila Wakristo wana vituko kweli-kweli , hapa mnawakashifu waislamu lakini mali zao nyingine mnazitumia. Mnakunywa maziwa ya Asas, mnatumia unga wa Bakhresa, na mnapanda mabasi yao kama ABC, SHABIBY na AL-SAEDY.

Hizi taasisi zote za waislamu zinatolewa sadaka kwa mungu wao. Hivyo ukikataa nyama na mchele, kataa na mambo yao mengine ambayo wanayatolea sadaka.

Anzisheni viwanda vyenu na taasisi zenu za Kikrusto tufahamu moja kwamba ninyi meamua kufuata Torati ya Musa, kutoshirikiana na mataifa...

Dini ni chombo hatari mno kama utakiendesha vibaya...

Mbona ninyi mnaleta watoto wenu shuleni kwetu why msiwwapelek hizo shule zenu
 
Waislamu wooote ni watu wazuri sana!! bana weee! kwa misosi kariakoo kwakweli tunafaidi sana! hata km wanafanya matambiko kuna ubaya gani??

Mbona kanisani mnatoa hela ??? zikasaidie maskini?? muslamu yeye ananunua kabisaaa hadharani mje mle wooote!......tatizo mleta mada mchoyo/roho mbaya akiona wengine wanabarikiwa kwa kutoa sadaka!!
kanisana hakuna msaada wa masikini bali anae changiwa ni mchungaji na padiri
 
Back
Top Bottom