Tabia ya mke wangu siipendi ila hataki kuiacha

Tabia ya mke wangu siipendi ila hataki kuiacha

Hebu elezea mkuu tupate kujifunza
Chupi zina shawishi sana kwa baadhi ya watu, nikiwa chuo kuna jirani yangu alikuwa akiishi na mwanamke wake ni mzuri sana vijana walikuwa wanamtolea macho sana, alikuwa na tabia kama hiyo ya mkeo. Kuna siku nipo ndani dirishan nikamuona jirani anailamba chupi na kuinusa+kuikiss kwa hisia sana almanusura atoe machozi (huyu alikuwa na ukaribu sana na jiran mwenye mke). Kwa hali kama hiyo n rahisi hata mtu kufanya kitu kibaya
 
Kwamba mkeo hakusikilizi!!! Dah kwanza pole sana kwa kuoa mkuu... Hicho ni kipimo tosha kwamba kazi ipo.... Ila jaribu kufuata ushauri wa kumuambia awe anafunika na kanga maybe
 
Chupi zina shawishi sana kwa baadhi ya watu, nikiwa chuo kuna jirani yangu alikuwa akiishi na mwanamke wake ni mzuri sana vijana walikuwa wanamtolea macho sana, alikuwa na tabia kama hiyo ya mkeo. Kuna siku nipo ndani dirishan nikamuona jirani anailamba chupi na kuinusa+kuikiss kwa hisia sana almanusura atoe machozi (huyu alikuwa na ukaribu sana na jiran mwenye mke). Kwa hali kama hiyo n rahisi hata mtu kufanya kitu kibaya
Mkuu hawa viumbe ni wabishi sana mm kwangu ni udharirishwaji wa hali ya juu
 
Huyo ametoka mkoani. Wanawake wa kiswahili huwezi kuona ameanika chupi yake hata kama mnaishi familia moja labda awe mtoto ambaye hajavunja ungo. Huwa wanafunzwa mapema mno jinsi ya kujistiri na kujisafisha
Wala sio wa mkoani wala nini.
Chupi inatakiwa kuanikwa juani ipogwe na jua. Hata shuleni tunefundishwa hivyo na si kuanika uvunguni zitaleta uvundo.
 
Kwanza unaishi vipi na mwanamke ambae hakusikilizi mwanaume umesema nini na umeamua nini kifanyike kama Baba mwenye nyumba ?

Wacha nikukumbushe mwanaume kiasili ni dikteta ukisema umesema hakuna kurudia rudia wa kubembeleza hauwezi ukawa mwanaume halafu mkeo hakusikilizi wewe ni bwege.

Mkeo lazima afuate order na sheria zako apende asipende hiyo ni lazima sio ombi ukishindwa hapa lazima akudharau na wewe upo hapa au unaelekea
 
Kwanza unaishi vipi na mwanamke ambae hakusikilizi mwanaume umesema nini na umeamua nini kifanyike kama Baba mwenye nyumba ?

Wacha nikukumbushe mwanaume kiasili ni dikteta ukisema umesema hakuna kurudia rudia wa kubembeleza hauwezi ukawa mwanaume halafu mkeo hakusikilizi wewe ni bwege.

Mkeo lazima afuate order na sheria zako apende asipende hiyo ni lazima sio ombi ukishindwa hapa lazima akudharau na wewe upo hapa au unaelekea
Mkuu kuna mkoa mke tunapiga na kanga ndo tumefunzwa ivo
 
Mkuu kuna mkoa mke tunapiga na kanga ndo tumefunzwa ivo
Kuwa mwanaume kwenye nyumba yako achana na hizo falsafa za kipuuzi za kupiga na kanga sijakuambia umpige ngumi lakini kuwa Baba mwenye nyumba sio mvulana.

Ukisema umesema hakuna wa kupinga , ukiamua umeamua hakuna wa kupinga wewe ndie Baba mwenye nyumba na ndie muamuzi wa mwisho wa shida zote ndani ya familia na hiyo changamoto uliyo kumbana nayo imekwisha kuwa shida amua sasa kama Baba.

Wewe sio mvulana tena wewe ni Baba mwenye nyumba sasa kumbuka hilo huo ndio ushauri wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom