Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,133
- 124,711
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuuh mam umetishaaaaaaah sanaah lol
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuuh mam umetishaaaaaaah sanaah lol
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] kuna taahira pale juu kasema kwa sababu ya umaskini...kwa sehemu nakubaliana nae. Mtu ambaye hapokei namba ngeni ni yule aliyeridhika, hana shida hata kama ni simu ya dili haimpi presha kama lipo lipo tu na kama halipo atapata wakati mwingine. Akina sie wasaka tonge ni ngumu sana kuwa na misimamo ya hivyo maana unawaza labda ni simu ya interview, au mteja wa maparachichi, au watu wa vicoba wanadai deni mradi tafrani[emoji1787][emoji1787]. Lakini mtu anajua akipigiwa simu ni kuombwa hela, kuombwa kazi, kukopwa, mara afisa mikopo wa benki anamshawishi achukue mkopo, mara ofisini kuna wageni ni halali akwepe namba ngeni...ila mimi hapa hata kama babe yuko kifuani ikiingia simu namba ngeni namwambia tu-pause kwanza nipokee simu (hapa nimetania tu jamani[emoji16][emoji16])
Hauna hali ngumu...niamini mimi. Mtu huwezi kuwa na hali ngumu, umesambaza cv kila ofisi unayoiona na kutangaza biashara yako ya vitumbua kwenye mbao zote za matangazo halafu useme sipokei namba ngeni??? Thubutu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Kuna watu tuna hali ngumu tu za maisha ila hiyo tabia tunayo.
Ila hiyo sentensi ya mwanzo nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hauna hali ngumu...niamini mimi. Mtu huwezi kuwa na hali ngumu, umesambaza cv kila ofisi unayoiona na kutangaza biashara yako ya vitumbua kwenye mbao zote za matangazo halafu useme sipokei namba ngeni??? Thubutu
[emoji23][emoji23][emoji23] bila shaka mtoa mada n mwenyeji wa manyara mana uko punda wana kila aina ya mlio.... Tatizo kuna watu wanapga cm utadhan una Figo yake miscal 36 unataka kuniambia nnEti vilio vya punda mwenye njaaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kupokea simu iwe namba ngeni au ya zamani+kutuma sms(kuchat) kwangu mtihani.
Mimi ukinibeep na namba ngeni imekula kwako.
Naona unanisaidiagaPunguza kujichua
Kama kunywa chai na chapati mbili...Watu wana principle za ajabu sana dunia hii.
Ndio maana nimesema ninyi wenye tabia hizi ni watu fulani wa matawi ya juu... mfano mimi kuna ndugu zangu hawajui kusoma, mama yangu anajua kiasi ila kuandika meseji hajui sasa nikianza tabia hizi si itakuwa tabu? Halafu mtu anaweza kuwa na dakika ila hana smsMtu hukupokea simu yake after some time unamtext sorry nani? Anapiga,unaona isiwe kesi unamtext nilipo kuna kelele nyingi hatutoelewana anapiga tena,tena hata mara tano mfululizo....tuna ugomvi? Au tunakomoana aisee...natia block au blacklist kabisa utatafuta namba nyingine uje kwa adabu,yani mtu unapiga kwa namba ngeni na ukiulizwa nani unaleta ujuaji halafu hapo hapo unajikuta bedui
Kwani ukimtumia meseji huo ujumbe haupati au hadi mzungumze….wengine hawapendi kuongeaHuwa nashangaa sana Mkuu, Mtu mwingine unampigia kwa nia njema kabisa pengine kuna fursa ya kazi unataka kumpa.. Ama hata kumtumia taarifa nzuri lakini Hataki kupokea anataka sjui ukampigie magoti ndo apokee.. Huu ni ushamba tu
😅😅😅Napokea nasikiliza utoe malezo kwanza wewe, na usipoongea tutaendelea kuhema hapo mpaka dakika zitakushia utakata.