CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,100
- Thread starter
- #41
Dawa ya mdeni sio kutokupokea simu ila ni kuwa mstaarabu na kumpanga kwa kumpa matumaini ili msifikie ugomvi usio na sababu... Ukipata unampa pesa yake
Mimi voda wananidai nlikuwa sipokei cm ya voda.no mpya ikipiga.kwa sasa.
Nimejitoa tu muhanga.ntapokea cm zote.kama ni wao ntawajibu tu ya kwamba ntawalipa.no namna
simu za magumashi ni noma