Eti vilio vya punda mwenye njaaaa...![]()
Wiki ijayo naelekea singida Nisikilize vilio vya punda mwenye njaa



Tupo wengi mkuu!Kwangu Mimi nimekuwa nikilalamikiwa mara kwa mara na ndugu na jamaa..."sipendi kuongea kwenye simu sijui ni kwann japo kiasili sio muongeaji sana pia, napenda kutumia sms kwa mawasiliano"
Nadhani hii ndo asili yangu, japo walio wengi wanahc vinginevyo.
Huu utaratibu hata Mimi ninao na siuachi.
Kumbe tupo wengi tusiopenda kupokea simu,mimi messages pia kujibu ni shughuli nachokaamimi sio namba ngeni tu bali sipendi kupokea simu hata kidogo...msg huwa najibu kiroho saafi ila kupokea simu huwa ni shida sana!
Technology zipo why mtu uhangaike?
Caller id app inasaidia kujua Nani anakupigia..
Utajua Tu hii nipokee au hii sipokei