Kipangaspecial sitishiki na treni wala Bombadia. Nadandia popote pale.Soma comments zote, zilivyoanza mpka mwisho wake. Acha kudandia treni kwa mbele. Utaumia. Kam kazi yako haina usaili, sawa, acha kupokea simu, hauna cha kupoteza.
Kipangaspecial sitishiki na treni wala Bombadia. Nadandia popote pale.Soma comments zote, zilivyoanza mpka mwisho wake. Acha kudandia treni kwa mbele. Utaumia. Kam kazi yako haina usaili, sawa, acha kupokea simu, hauna cha kupoteza.
Mimi mtu akinipigia simu akiniuliza mimi ni nani, huwa namjibu kuwa hii sio simu ya mezani, hii ni simu ya mkononi na mimi nitambue kama mmiliki wa simu hii.Nimecheka sana.!
Afu mtu huna mawasiliano yake,unapokea ila anapata ujasiri wa kukuuliza wewe nani wakati kapiga yeye.Huwa nakata twa!
Kipangaspecial sitishiki na treni wala Bombadia. Nadandia popote pale.
Saa 4 hii usiku , namuuzia nani machungwa broo ?Kauze machungwa. Usipoteze muda hapa.
Saa 4 hii usiku , namuuzia nani machungwa broo ?
New York ni mkoa gani ?Kwa ni uko Tanzania? Nilifikiri uko New York ambako ni asubuhi sasa hivi.
Hili ni tatizo kubwa sana aisee, hili nimeliona kwa watu wa sampuli mbili.Kwenye maisha kila mtu kajiwekea principles zake na utaratibu wa Maisha.. Ni sahihi sana lakini Kuna vingine vinahitaji Utashi wa kibinadamu kung'amua Hasara na Faida zake.
Kuna watu wamejiwekea utaratibu kwamba Hata iweje, Basi Namba ngeni itapiga sana na kamwe hatopokea.. Sijui ni madeni au basi tu hataki lakini ndo alivyoniwekea.. Hii iko pande zote kwa Baadhi ya wanaume na Wanawake.. Wanawake wengi wanasema wao huepuka Usumbufu kwani mara nyingi huwa ni wanaume wakware wanaotaka penzi lao.
Dhana hii kwa upande mmoja ni sahihi.. Lakini Je, huoni haja ya kumsikia anayekupigia ni nani kabla huja ignore? Na unakuta wewe ni mfanyabishara, mfanyakazi na pengine Mtafutaji wa kazi ume apply huko na huko.. Sasa umepigiwa simu ya interview na hupokei unataka uje kumlaum nani?
Juzi Mtu wangu wa karibu Kapigiwa sana simu Kwa namba mpya na hakuipokea maksudi kabisa zaidi ya mara nne.. Huku akibetua mdomo "Wanaume bana huyu nae anataka kunisumbua tu" Lakini baadae kupitia Namba hyo hiyo akatumiwa Msg Kwamba Kaka yake kafariki kwa Ajali.. Ndo akaanza kutoa vilio kama punda mwenye Njaa
Wakati mwingine tuangalie misimamo yetu kama ina tija kwenye Maisha.
Hiyo namba 1 ongeza na kukwepa mizinga! Inachosha hatari. Watu hawana aibu kabisa.Hili ni tatizo kubwa sana aisee, hili nimeliona kwa watu wa sampuli mbili.
1. Watu wenye hela mara nyingi wana tabia hizi, yaani kwa ufupi wale ambao wanajihisi hawana shida wala kuhitajia jambo kwa mtu mwingine.
2. Watu wenye kudaiwa madeni, hawa huea hawapokei kwa ajili ya usalama wao binafsi yaani kukimbia fedheha.
Hili nyongeza, nimeshwahi kuambiwa hivi "Ili kujiwekea heshima kwa watu, hakikisha usiwe unapatikana kila unapotafutwa kwa njia simu"
Kwangu mimi namba ngeni huwa nazifurahia sana, sababu huwa nahisi mchongo. Ila huwa nakereka sana napo pokea namba ngeni halafu inaniuliza "Wewe nani.....?? " huwa nakata simu au kumwambia "Waulize Tigo, au Airtel au Voda".
Sahihi kabisa.Hiyo namba 1 ongeza na kukwepa mizinga! Inachosha hatari. Watu hawana aibu kabisa.
Wengine unakuta namba mpya halafu missed calls 10! Huwa natukana kimoyomoyo na hata sipigi. Ukishampigia mtu mara moja (au max mara 2) hajapokea, mtumie text tu ujitamhulishe au useme shida/taarifa yako.
Jamaa wa Dawasa kila mwezi wanakupigia na namba mpya kukumbushia bili ya maji!
Hakuna interview ya kuuza machungwa. Simple!
Ahahaahah, samahani mkuu.!!Mkuu ndio maana juzi hukupokea simu zangu ? Sawa bana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Dalili ya umaskini!
Basi tuache iwe hasara ya mpokeaji ambaye hajataja kupokea..... Labda huyo Hajaomba kazi yoyote sasa kwa nn afikiri interview wkt kajiajiri😀😀Simi nyingine ni za kikazi, interview na vitu kama hivyo kwanini usipokee?
Labda useme tayari ana kazi, ukiwa umejiajiri si ndio kabisa connection muhimu? Au hiyo ajira yako inakuwa haina wateja au clientsBasi tuache iwe hasara ya mpokeaji ambaye hajataja kupokea..... Labda huyo Hajaomba kazi yoyote sasa kwa nn afikiri interview wkt kajiajiri[emoji3][emoji3]