Tabia ya kutopokea namba ngeni/namba mpya

Tabia ya kutopokea namba ngeni/namba mpya

Mimi huwa napokea simu zote zinazoingia nadhani inachangiwa pia na nature ya kazi yangu lakini huwa sipendi usumbufu. Kuna wale watu ambao kukupigia kutwa mara 3 kwa siku kama dozi ya malaria kwao ni kawaida na hakuna cha maana zaidi ya maneno na chokochoko za kijinga.

Mtu anakupgia simu mara mbili haipokelewi lakini bado anakomaa kupiga ni usumbufu huo, binafsi nikipiga simu mara moja isipopokelewa sipigi tena akikuta miskolo yangu apige/asipige sijali hata kama nakudai siwezi tumia new namba kukutafta kama hupokei kwa namba yangu iliyozoeleka.
 
Nadhani badala ya kumpigia tu mtu na namba mpya, mtumie ujumbe jitambulishe. Sasa mtu unapiga kama vile hasira
Kutopokea simu ya namba Mpya na wenyewe huwa ni ujinga pia, haya ni matatizo ya kuishi maisha ya ujanja ujanja pasipo kujiamini
 
Kutopokea simu ya namba Mpya na wenyewe huwa ni ujinga pia, haya ni matatizo ya kuishi maisha ya ujanja ujanja pasipo kujiamini
Kupokea kila simu ay kupigia kila missed call nao ni Ushamba mwingine. Ndio maana kuna voice messages, kuna text messages.
 
Kupokea kila simu ay kupigia kila missed call nao ni Ushamba mwingine. Ndio maana kuna voice messages, kuna text messages.
Kama ni kula kulala haina shida, lakini tunaokimbizana kila siku na fursa Mpya sio shida kupokea Sim Mpya na kuzipigia pia
 
Kama ni kula kulala haina shida, lakini tunaokimbizana kila siku na fursa Mpya sio shida kupokea Sim Mpya na kuzipigia pia
Kwa wewe unaehangaika kutafuta chanel inafaa kweli ushike kila simu, wengine tumetenganisha maisha tuna simu za Biashara, tuna za Private na tuna za Jamii
 
Kwa wewe unaehangaika kutafuta chanel inafaa kweli ushike kila simu, wengine tumetenganisha maisha tuna simu za Biashara, tuna za Private na tuna za Jamii
Kwan unaongelea nn sasa, kwa hiyo ukiuta Sim Mpya kwenye biashara zako huipokei , SAA nyingine elim mnazosoma haziwasaidii aisee
 
Nilikuwa sipokei namba za huduma kwa wateja wa mitandao ya simu tu,Ila Sasa hivi nimejifunza kitu nazo huwa napokea naweza kuendelea kuwasikiliza au nikakata itategema wanaongea nini
 
Kwenye maisha kila mtu kajiwekea principles zake na utaratibu wa Maisha.. Ni sahihi sana lakini Kuna vingine vinahitaji Utashi wa kibinadamu kung'amua Hasara na Faida zake.

Kuna watu wamejiwekea utaratibu kwamba Hata iweje, Basi Namba ngeni itapiga sana na kamwe hatopokea.. Sijui ni madeni au basi tu hataki lakini ndo alivyoniwekea.. Hii iko pande zote kwa Baadhi ya wanaume na Wanawake.. Wanawake wengi wanasema wao huepuka Usumbufu kwani mara nyingi huwa ni wanaume wakware wanaotaka penzi lao.

Dhana hii kwa upande mmoja ni sahihi.. Lakini Je, huoni haja ya kumsikia anayekupigia ni nani kabla huja ignore? Na unakuta wewe ni mfanyabishara, mfanyakazi na pengine Mtafutaji wa kazi ume apply huko na huko.. Sasa umepigiwa simu ya interview na hupokei unataka uje kumlaum nani?

Juzi Mtu wangu wa karibu Kapigiwa sana simu Kwa namba mpya na hakuipokea maksudi kabisa zaidi ya mara nne.. Huku akibetua mdomo "Wanaume bana huyu nae anataka kunisumbua tu" Lakini baadae kupitia Namba hyo hiyo akatumiwa Msg Kwamba Kaka yake kafariki kwa Ajali.. Ndo akaanza kutoa vilio kama punda mwenye Njaa

Wakati mwingine tuangalie misimamo yetu kama ina tija kwenye Maisha.
sahihi hasa wanawake, kwa wanaume tunajua sababu ni madeni,KE moja juzi kakosa kazi hivhivi tulimpigia mpaka mara4 hakupokea kisa namba ngeni baadaye tukampigia ndugu yake wa karibu akasema eh kweli alisema yeye hapokeagi namba ngeni
 
Kuna usumbufu fulani wakati wa usiku mara nyingi. Kuna wrong number watakuamasha usiku toka usingizini. Kuna wengine wanapiga saa 8 usiku kukusalimia. Nadhani bando likuwa bei rahisi wakati huo. Huo kweli ni usumbufu. Na ukinipigia wakati huo kama siyo dharura huwa sikopeshi. Nitakueleza kuwa siyo vizuri kuamshana usiku kwa kitu ambacho kingeweza kusibiri kesho yake. After all, sisi wengine hatukumbuki mambo tunayoongea kama tumeamshwa ghafla toka usingizini.

Lakini pia kuna simu inaweza kusevu maisha yako ama ya mtu mwingine. Fikiria nyumba uliyolala inawaka moto. Watu wako nje wanataka kukujulisha kuwa nyumba inaungua, toka haraka. Ama kuna mgonjwa kama huyo mama yako. Anaweza kufa hivi hivi kwa tendo lako la kuzima simu.

Ndio sometime tubadili misimamo isio na maana
 
Kuna boss wa kampuni Fulani kubwaaaa balaa, juzi nimepeleka wito fulani, nikakuta hayupo ofisini na ni confidential siwezi mwonesha mtu tofauti na yeye, nikasubiri wap, ila yupo hapa hapa town,Nikapewa no yake, nilipiga Siku mbili hapokei, na some times anakata nikiwauliza wafanyakazi wanasema yupo ila anatokatoka
Nikawaza nitumie SMS, ila mfanyakazi akanambia ukituma SMS atakublock. Nikamwambia mfanyakazi akija umwambie kuna abcd, asiponitafuta Siku ziki- expire itakula kwake ahaaaaa baada ya lisaa alinipigia mwenyewe.😀😀😀

Na mm nikawa na kiburi nifate ofisini kwangu ahaaaa kweli kaja, yesuuu nikaona chuma ya maana imepaki😁 nikajisemea moyoni huyu atakuwa mshomile, na atakuja kwa fujo balaa, huwezi amini alitoka mtu mmoja makini mpoleee,nikawaza huyu ndo amenikatia sim Siku mbili? Anaongea kwa upole akaomba nimpe maelekezo mmmh! Na akaniomba samahani kwa kutopokea simu.😀😀

Kupokea simu ni muhimu sana huwezi juwa nani anakupigia.
 
Back
Top Bottom