Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,819
- 225,609
Kuna watu hawana kitu kama Mimi na simu hawapokei.Shemeji watu wenye tabia hiyo wameridhika na maisha, wana kila kitu cha kuwatosha. Unaongea mambo ya interview za sisi walalahoi tena?
Kuna watu hawana kitu kama Mimi na simu hawapokei.Shemeji watu wenye tabia hiyo wameridhika na maisha, wana kila kitu cha kuwatosha. Unaongea mambo ya interview za sisi walalahoi tena?
Mkuu kwa simu zetu hizi za vitochi kuna mtihani hapo Ujue! 🤣Technology zipo why mtu uhangaike?
Caller id app inasaidia kujua Nani anakupigia..
Utajua Tu hii nipokee au hii sipokei
Ni kweliOkay, ila bado ni muhimu sana kupokea simu. Bora uache kupokea unayoijua kuliko usiyoijua.
Ni kweli
Haha kuna tofauti kwani?Hahaha, zamani ungesema "You are right"
Simi nyingine ni za kikazi, interview na vitu kama hivyo kwanini usipokee?Mtumie ujumbe we nani naamini atakusikiliza....tuache visingizio visivyo na maana
bado majina yatakuwa mageni bossTechnology zipo why mtu uhangaike?
Caller id app inasaidia kujua Nani anakupigia..
Utajua Tu hii nipokee au hii sipokei
Mtu anakupigia anataks wewe ndio ujue yaan utabiri yeye nani ukimuambia namba ngeni anakujibu basi
You are Right.Nadhani badala ya kumpigia tu mtu na namba mpya, mtumie ujumbe jitambulishe. Sasa mtu unapiga kama vile hasira
Nimecheka sana.!Napokea nasikiliza utoe malezo kwanza wewe, na usipoongea tutaendelea kuhema hapo mpaka dakika zitakushia utakata.
sahihi hasa wanawake, kwa wanaume tunajua sababu ni madeni,KE moja juzi kakosa kazi hivhivi tulimpigia mpaka mara4 hakupokea kisa namba ngeni baadaye tukampigia ndugu yake wa karibu akasema eh kweli alisema yeye hapokeagi namba ngeni
Mimi nimeset simu yangu isipokee namba ngeni.Kwenye maisha kila mtu kajiwekea principles zake na utaratibu wa Maisha.. Ni sahihi sana lakini Kuna vingine vinahitaji Utashi wa kibinadamu kung'amua Hasara na Faida zake.
Kuna watu wamejiwekea utaratibu kwamba Hata iweje, Basi Namba ngeni itapiga sana na kamwe hatopokea.. Sijui ni madeni au basi tu hataki lakini ndo alivyoniwekea.. Hii iko pande zote kwa Baadhi ya wanaume na Wanawake.. Wanawake wengi wanasema wao huepuka Usumbufu kwani mara nyingi huwa ni wanaume wakware wanaotaka penzi lao.
Dhana hii kwa upande mmoja ni sahihi.. Lakini Je, huoni haja ya kumsikia anayekupigia ni nani kabla huja ignore? Na unakuta wewe ni mfanyabishara, mfanyakazi na pengine Mtafutaji wa kazi ume apply huko na huko.. Sasa umepigiwa simu ya interview na hupokei unataka uje kumlaum nani?
Juzi Mtu wangu wa karibu Kapigiwa sana simu Kwa namba mpya na hakuipokea maksudi kabisa zaidi ya mara nne.. Huku akibetua mdomo "Wanaume bana huyu nae anataka kunisumbua tu" Lakini baadae kupitia Namba hyo hiyo akatumiwa Msg Kwamba Kaka yake kafariki kwa Ajali.. Ndo akaanza kutoa vilio kama punda mwenye Njaa
Wakati mwingine tuangalie misimamo yetu kama ina tija kwenye Maisha.
Muuza machungwa unamchukuliaje broo ?Nimepokea simu nyingi tu za kuniita kwenye interview. Nyingine unapigiwa kama leo hivi interview ni kesho yake asubuhi. Nyingine za kunijulisha kuwa nimepewa kazi baada ya interview. Nyingi tu. Sasa ningejifanya kuwa sipokei namba nisiyoijua?
Kama wewe ni muuza machungwa, pengine you have nothing to lose.
Muuza machungwa unamchukuliaje broo ?
Sio lazima kuwe na usaili chiefHakuna interview ya kuuza machungwa. Simple!
Sio lazima kuwe na usaili chief