Ndio walivyo wao haha,ukiwaendekeza wanazoea na paka mjanja sana anamsoma mtu na kumtambua mwema na mbaya na ukianza kumpiga lazima akukwepe muda wote ..paka ni rafiki wa yule anayempatia mkate ukiona paka ana urafiki na mtu basi ujue huyo mtu anamlisha
Mfano matha akiwa nje utaona paka wanaanza kulia milio ya kubembeleza na kushuka ukutani ila nikitoka wanakimbia na kila nikisikia sauti zao za kubembeleza huwa natoka na lazima wakimbie ,nimemuambia matha kabisa abadilike yy ndio anawalea..
Paka nimetangaza nao vita sabb moja makelele yao yanakera usiombe usiku waanze kupigana,kupandana na kukimbizana juu ya bati na mikelele ya ajabu.