Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 954
- 1,578
ujinga wa paka ni pale anapovuka barabara!!
-kweli anajua kuna magari, na ni hatari kuvuka bila kutazana pande zote
-husimama na kutazama kushoto kwa zaidi ya dk 5
-kisha hutazama na upande wa kulia zaid ya dk 5
-Kisha huvuka kwa madoido bila kutazama tena kushoto na gari imekaribia
Ghafla utasikia ..waaaaauuuu....! (kashabutuliwa na gari)
we wachunguze wanapovuka barabara
-kweli anajua kuna magari, na ni hatari kuvuka bila kutazana pande zote
-husimama na kutazama kushoto kwa zaidi ya dk 5
-kisha hutazama na upande wa kulia zaid ya dk 5
-Kisha huvuka kwa madoido bila kutazama tena kushoto na gari imekaribia
Ghafla utasikia ..waaaaauuuu....! (kashabutuliwa na gari)
we wachunguze wanapovuka barabara