Tabia na sifa za Paka ni za kushangaza

Tabia na sifa za Paka ni za kushangaza

mimi nishawahi kuona wakigegedana more than one time tena mchana,ingawa nakili kuwa kweli paka ni mnyama mstaarabu ukilinganisha na wanyama wengine wanaofugwa na binadamu,mfano ukiwa umefuga paka na mbwa nyumbani kwako,paka nae huwa anajifanya kama binadamu mbele ya mbwa,yaani anamwona mbwa ni mbwa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ni kweli paka anajiona yuko juu
 
Paka ndiyo nini tena mbona mimi najua tu kale kamnyama kapenda starehe kanalia nyau nyau unakakuta kako juu ya friji kanachapa usingizi mara kwenye sofa mara kitandani nahisi kuna watu wamerithi tabia ya Nyau starehe tu kazi hakuna mimi rafiki yako mkubwa ni MBWA wako wawili HOLO NA NGUSSA ndiyo marafiki zako hata ikitokea noma tunasaidizana ila hako kanyau kamo ndani kama pambo tu kulingana tabia zake
 
Kiuhalisia tunafuga paka majumbani mwetu kama mapambo tu na si kwajili ya ulinzi. Ukiona paka anafukuzia panya ndani ya nyumba ujue paka huyo humlishi vizuri.
Mlinzi mzuri wa nyumba ni mbwa make hata mchawi akija malangoni atamuona na kubweka tofati na paka ambaye kiuhalisia ni harmless kwa mchawi.

Note; ukitaka kumsafirisha paka usigeuke nyuma ulikomtoa vinginevyo hata ukifika nae uendako lazima arudi ulikomtoa.
 
Back
Top Bottom