Pusi tena?Ukiita nyau haji ukiita paka haji hadi uite pusi pusi ndio anakuja analinga sana
Pusi tena?Ukiita nyau haji ukiita paka haji hadi uite pusi pusi ndio anakuja analinga sana
we jamaa ndo ulitungiwa kile kistory hvPaka hapotei njia hata siku moja
Kuna paka nilienda kumtupa mbali sana na nyumbani
Wakati wa kurudi nikapotea njia ila bahati nzuri nikamuona yule paka anapita
Nikaanza kumfuata nyumanyuma mwishowe nikajikuta nimetokea nyumbani
Du!Paka ndio mnyama pekee wa nyumbani ambae hajatajwa sehemu yeyote kwenye biblia..naomba kuwasilisha hii taarifa mujue
ati nini tamu?Lakini kwanini ulitaka kuwakatisha uhondo ukaanza kuwapiga na mawe cheze dyudyu ilivyo tamu
Kuna jirani hapa paa lake lipo wazi sasa paka wameweka makazi siwapendi sasa paka mmoja akavizie akaingia jikoni nilivyomuona nikamfungia mlango nikaenda kutafuta fimbo kichekesho eti kajificha nyuma ya jiko eti ndo kajificha wakati yupo uchi nikaufungua mlango eti bado kajikunyata nilimfyatulia bakora aliruka huyooKatika kitu ambacho paka hakiwezi ni kujificha, anaweza kukaa nyuma ya kigai(jiko) na yeye akaona kama amejificha.
Nawachukia sana ningekuwa na uwezo hawa waliopo kwa jirani ningewatimua ila wataingia kwenye 18Ni mnyama Ninaye mpenda Sana mpk Sasa Nina paka 6
1. Paka ni mnyama anayejua kudekeza mwanae anaweza akazaa mizao 3 na wote wakanyonya kwa pamoja
2.paka hapendi Fujo, ni mnyama mstaarab Sana
Story za wahengaUkitaka kujua paka ni hatar kuliko wanyama wote ujifungie nae ndani ya chumba halafu uanze kumpiga wee atakufanya kitu mbaya hapendi kuonewa
Usiku paka akivuka anakuwa na mawewe na taa humchanganyaujinga wa paka ni pale anapovuka barabara!!
-kweli anajua kuna magari, na ni hatari kuvuka bila kutazana pande zote
-husimama na kutazama kushoto kwa zaidi ya dk 5
-kisha hutazama na upande wa kulia zaid ya dk 5
-Kisha huvuka kwa madoido bila kutazama tena kushoto na gari imekaribia
Ghafla utasikia ..waaaaauuuu....! (kashabutuliwa na gari)
we wachunguze wanapovuka barabara
Haha hapa kwa jirani kuna paa la bati lipo wazi linaangaliana na home sasa paka wameweka makazi saizi wamebaki 2 wabishi kinoma wanakera nimekuwa mkuda wakishuka kwenye ukuta kama hawajaniona nawatembezea stick na nikiwaona karibu nawakimbiza na fimbo ila wabishi ila saizi wamejenga uoga ..ila dawa yao ipo jikoni mpaka watahamaHuyo mnyama simuelewaki kabisa.nilipokuwa nakaa home.ukiamka usiku kujisaidia.una mkuta amekaa dirisha la mbele. Ametulia kimyaaaaa.sasa uwa najiuliza hapa anafanya nini.likiniona linakimbia.asubuh nikimuona tu lazma nilipige.ila lina roho ngumu.haliondoki home.
Asante sana mkuu nilikuwa natafuta mechanism kuwafukuza mapaka yanakera hapa karibu na home paa la bati ngoja niwatafute jongoo sasa niwaweke kwenye makazi yaoPaka anamuogopa jongoo kuliko nyoka!
Mchana,paka huwaona binadamu kama dagaa....usiku huona watu kama mazimwi ama magiant!!
Si kweli mkuu, paka kwenye mambo ya kishirikina ni mlinzi mzuri tu kuliko mbwa. Mbwa anabweka tu na anaweza ata akakaa pembeni kwa kunung'unika tu. Ila paka ana pambana hadi anahakikisha ama icho kibaya kinasepa au anakufa yeye.Kiuhalisia tunafuga paka majumbani mwetu kama mapambo tu na si kwajili ya ulinzi. Ukiona paka anafukuzia panya ndani ya nyumba ujue paka huyo humlishi vizuri.
Mlinzi mzuri wa nyumba ni mbwa make hata mchawi akija malangoni atamuona na kubweka tofati na paka ambaye kiuhalisia ni harmless kwa mchawi.
Note; ukitaka kumsafirisha paka usigeuke nyuma ulikomtoa vinginevyo hata ukifika nae uendako lazima arudi ulikomtoa.