Paka wa baa; Kuna cha kujifunza hapa

foroy

Senior Member
May 2, 2018
186
288
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zilirandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri
 
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zililandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri
Something to ponder

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zilirandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri
Mh! The truth be told! You are such a gifted creative writer/storyteller, I have enjoyed the cats story! You are linguistic mastery is superb!
 
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zilirandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri

Ccm na madaraka.
 
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zilirandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri
Nipo ijenga petro station hapa, ungekua karibu ungepata sato choma fasta....

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zilirandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zilirandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri
Yaani kweli 1000%
 
Jana, kwenye majira ya saa nane mchana, nikaingia Kisuma Bar pale Magomeni na kuagiza ugali nyama choma. Kama kawaida yao, paka wakanizingira ghafla na kuanza kunipigia kelele.

Safari hii sikuwatilia maanani. Nikaendelea kula bila kujali wanavyonihesabia matonge. Walipokata tamaa wakaamua kujilaza sakafuni na kuanza kuchezeana wenyewe kwa wenyewe chini ya meza.

Nikahusudu jinsi walivyopendana. Ndiyo kwanza nikabaini kuwa hawa paka walikuwa familia moja. Rangi zao zilirandana. Palikuwepo dume na jike waliokomaa, nikahisi ni wazazi. Palikuwepo pia wengine wanne waliopishana ukubwa. Nikabashiri kuwa watoto wao.

Vile walivyocheza pamoja, wakilambana kwa upendo na kunong'onezana kwa lugha yao, ikafanya niipende familia hiyo ya paka, nikaamua kuwashirikisha fahari ya chakula changu kwa kuwatupia vipande vya nyama. Kilichotokea sikuamini macho yangu!

Paliibuka vita ya kuogofya!
Paka waliraruana kwa makucha yao na kuungurumiana kwa chuki ya mauti. Dume likamchakaza jike kwa makofi mfululizo yaliyoambana na mchomozo wa kucha. Kisha akanyakua kipande cha nyama na kujitenga mbali.

Jike nalo likawararua wale wadogo kwa hasira na makelele ya "myaauuuuuu" yakatibua utulivu wa eneo hilo.

Hawa wadogo pia wakashambuliana kwa zamu kikatili kabisa bila kuhurumiana.

Sasa kikabakia kipaka chenye umbo dogo na afya dhaifu. Hicho hakikuambulia kitu. Kikabaki kinapepesa macho na kujilamba kwa uchu wa kinyonge. Niliwafukuza wale wakubwa kwa mateke ndipo nikafanikiwa kukipatia walau finyango moja. Hakikuamini!

Wakati nakitazama jinsi kinavyopambana na kile kipande cha nyama, akili yangu ilienda mbali sana...

* * * *
Kuna watu tunaishi nao lakini wana haiba halisi ya paka wa baa. Wao wanaweza kuwa marafiki, ndugu au jamaa zetu wazuri katika kipindi chote. Lakini pindi inapoibuka fursa ya aina yoyote yenye maslahi ndani yake, husahau mara moja ujamaa na uswahiba wenu wa awali.

Kwenye maslahi wao wapo tayari kuua au kudhuru; wapo tayari kuvunja undugu na kufuta kabisa historia ya ujamaa wenu. Ni watu wanaodhani na kuamini kuwa wao pekee ndiyo wenye haki ya kupata zaidi kuliko wengine. Hata kinachotosha kwa wote, wao hutaka chote peke yao; tamaa yao ni kuhodhi kila kitu peke yao. Na watafanya kila mbinu chafu kuhakikisha hupati chochote. Na ukisogeza pua yako hawakawii kukufisha kama si kukutoboa macho!

Watu wa aina hii ni watu hatari sana. Ukiwa mwerevu utawang'amua mapema kabla hawajakudhuru. Ukiweza kuwatambua, usichangamane nao. Jitenge nao haraka.

Watu wenye hulka za paka wa baa ni watu wabinafsi na wenye tamaa kali. Wamejaa inda na choyo. Hawa watu, ni mfano wa mtu mwenye mbio kali sana. Kama mnakimbia pamoja naye, simama ghafla. Atapiliza. Kisha wewe badili mwelekeo, na asijue abadani ulipoelekea.

Masalkheri
Kama familia yako pia ilipata nyama yakutosha siku hiyo basi huo ni upendo tosha, Nakama family yako ilikula maharage au mboga tofauti na nyama basi huna tofauti na hao paka.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nimekueelewa vzr san but kumbuka linapokuja swala la kusurvive jiangalie wew kwanza
Tofauti ya binadamu na wanyama ni utashi. Kama unaamini survival yako inategemea elimination ya mwingine huna tofauti na mnyama asiye na utashi
 
Tofauti ya binadamu na wanyama ni utashi. Kama unaamini survival yako inategemea elimination ya mwingine huna tofauti na mnyama asiye na utashi
Kwa story uliyo toa inaonesha mwenye nguvu ndiye anaye survive
 
Back
Top Bottom