CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Hii ya warefu.....
Mwaya hebu njoo hapa Sparrow tujilie yetu mishkaki ya utumbo. Akhuuu... hii mada haituhusu sie wafupi!!!
Hii ya warefu.....
Habari za mchana watazamaji, washangaaji na wachangiaji wa nyuzi mbalimbali za majukwaa pendwa ya mtandao wetu bora kabisa wa JF.
Baada ya salaam hiyo naomba niende moja kwa moja kuwazungumzia watu warefu kwa kimo kwenye suala la tabia zao, haiba pamoja na mitazamo yao kwa watu wanaowazunguka.
Kusudi la thread hii ni kutaka kupata maoni mbalimbali kuhusu tabia za watu hao hasa ukizingatia kuwa wengi tunaishi nao na kufanya kazi na wengine na marafiki zetu.
Nimeamua kuweka uzi huu ili kupata uhakika wa yale yanayosemwa kuhusu watu warefu wa kimo kwamba wengi wao ni watu wenye dharau ila hawana sifa, wanajiamini(they are confident), kwa wanapendwq na akina dada/wanawake na endapo mwanamke/mdada ni mrefu wanaume wanamuhofu.
Je wewe unawaelewaje watu wa aina hii?
NOTE:
Watu warefu wapo wachache sana sio kama wengi wanavyodhani,. Na urefu ninaousemea hapa na above 6ft yaani 6+.
Nakaribisha maoni yenu.
Habari za mchana watazamaji, washangaaji na wachangiaji wa nyuzi mbalimbali za majukwaa pendwa ya mtandao wetu bora kabisa wa JF.
Baada ya salaam hiyo naomba niende moja kwa moja kuwazungumzia watu warefu kwa kimo kwenye suala la tabia zao, haiba pamoja na mitazamo yao kwa watu wanaowazunguka.
Kusudi la thread hii ni kutaka kupata maoni mbalimbali kuhusu tabia za watu hao hasa ukizingatia kuwa wengi tunaishi nao na kufanya kazi na wengine na marafiki zetu.
Nimeamua kuweka uzi huu ili kupata uhakika wa yale yanayosemwa kuhusu watu warefu wa kimo kwamba wengi wao ni watu wenye dharau ila hawana sifa, wanajiamini(they are confident), kwa wanapendwq na akina dada/wanawake na endapo mwanamke/mdada ni mrefu wanaume wanamuhofu.
Je wewe unawaelewaje watu wa aina hii?
NOTE:
Watu warefu wapo wachache sana sio kama wengi wanavyodhani,. Na urefu ninaousemea hapa na above 6ft yaani 6+.
Nakaribisha maoni yenu.
Kwa kuwa hakuna aliyeweka oda kwa MUNGU kuwa aumbwe vipi na kwa dizaini gani...sina sababu ya kukosoa maumbile ya kiumbe cha MUNGU kwa kuwa naamini kuwa binaadamu wote sawa na tumeumbwa kwa mfano wa MUNGU na ubora wa binadamu hauongezeki kwa kuwa mrefu kupita wengine au kuwa tajiri kupita wengine.....bali thamani ya mwanadamu inatokana na yeye kuwa tu binadamu.......zipo sababu nyingi zinazomfanya mtu asijiamini ikiwemo malezi na eneo alilokulia....na wala havihusiani na kimo cha mtu...wala rangi ya mtu.....
ASIYEUMBA HAUMBUI...
Hiyo avatar yako nimeipenda!! halafu utakuwa mfupi tu.
Mwaya hebu njoo hapa Sparrow tujilie yetu mishkaki ya utumbo. Akhuuu... hii mada haituhusu sie wafupi!!!
Mwaya hebu njoo hapa Sparrow tujilie yetu mishkaki ya utumbo. Akhuuu... hii mada haituhusu sie wafupi!!!
Do nothing kaka/dada.Baada ya ban ya siku tatu nimeshindwa kupata sejemu ya new topic, ila topic ninazo za kutosha kuleta hapa nashindwa nabaki mchangiaji please nisaidieni jamani nifanyeje?
Mmmhhh no comment
Wapi wewe?
Ukimaanishaje?
Njoo ofisi ya waziri mkuu.