DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,259
- 4,690
Wali mkavu huu weka mboga tujionee.
Unasema? Siweki ngooooooo
Wali mkavu huu weka mboga tujionee.
Ukiwa mfupi hata uwe na hela ila watu watukuita kale kafupi,mara kaandunje....bt ukiwa tall raha sana....
Mbona maneno mengi mkuu?
Hayo ni maneno ya kujifariji watu masikini, watu wenye pesa hii haiwez kuwa discussion, kuna mzee mmoja kibabu lkn kaoa aliekua miss Tz we unafikiri binti hakuona vijana wenzake? Penye pesa hizo weakness watu hawazion hata km mbaya unaonekana handsome
Me mfupi ndo sababu
Habari za mchana watazamaji, washangaaji na wachangiaji wa nyuzi mbalimbali za majukwaa pendwa ya mtandao wetu bora kabisa wa JamiiForums.
Baada ya salaam hiyo naomba niende moja kwa moja kuwazungumzia watu warefu kwa kimo kwenye suala la tabia zao, haiba pamoja na mitazamo yao kwa watu wanaowazunguka.
Kusudi la thread hii ni kutaka kupata maoni mbalimbali kuhusu tabia za watu hao hasa ukizingatia kuwa wengi tunaishi nao na kufanya kazi na wengine na marafiki zetu.
Nimeamua kuweka uzi huu ili kupata uhakika wa yale yanayosemwa kuhusu watu warefu wa kimo kwamba wengi wao ni watu wenye dharau ila hawana sifa, wanajiamini(they are confident), kwa wanapendwa na akina dada/wanawake na endapo mwanamke/mdada ni mrefu wanaume wanamuhofu.
Je wewe unawaelewaje watu wa aina hii?
NOTE:
Watu warefu wapo wachache sana sio kama wengi wanavyodhani. Na urefu ninaousemea hapa na above 6ft yaani 6+.
Nakaribisha maoni yenu.
Hahahaaaa! Kumbe kabanga ni kafupi ee! teh teh teh!
Bora unyimwe akili kulikourefu! mmweh!
Hivi ukiwa mrefu zaidi ya futi 5 ndio;
Unakuwa kitandani unanoga?
Ndio unakuwa na hela nyingi?
Ndio unakuwa na akili nyingi darasani?
Au ndio unakuwa unajua budget vizuri?
Au ndio nini......Sifa zipi ambazo ni necessary ukiachana na hizo unnecessary ambazo hazileti tija saana katika maisha na maendeleo?
Maana nikitizama wale walio chini ya 5 ila ufupi usizidi sana hadi ukawa kama mtoto.
Kama ni akili wanazo .... Ndio maana Mkapa na A.H. Mwinyi wakasoma na wakawa na sifa ya kuwa Rais..
Kitandani wanajua pia nao wapo vizuri.........ndio maana Jadda akampata Will Smith
Budget wanajua ..... Ndio maana Mramba akawa BOT
Hela wanazo.....Ndio maana MZEE Mengi, na wengineo wakawa na hela.
SIELEWI ...NASIKIA UREFU UREFU ....sielewi kilicho necessary ni nini.
Coz unaweza kuwa mrefu lkn sura huvutii, umbo huvutii upo tuuu..
Na unaweza kuwa mfupi, shep unayo inayovutia, sura unayo inayovutia..vile vile miguu. nk.
Jambo jema kwako umejikubali, japokuwa u mfupi.
Japokuwa ukiwa mrefu unakuwa na sifa za ziada mfano,baadhi ya kazi zinahitaji uwe mrefu.
Hata hivyo, uhalisia wa maisha ni zaidi ya kimo: urefu au ufupi.
Na vip ukiwa mrefu na pesa ikawepo
Wote mna equal chance kwenye hi nchi ya watu million 45 labda km mkijitokeza kwenye mashindano ya urefu. Lkn kwenye competion za maisha nimekutana na warefu wengi wamezubaa kuna mmoja wkt tupo chuo alitapeliwa cm na dem ikabidi mm na ufupi wangu nijifanya kakaake nkamfua dem nikasema cm yangu ndo kuipata. Cjui alikopa penz me atajua mwenyewe lkn warefu wengi inapokuja swala la usharp wapo goigoi sn ndo maana wanajifariji na
hz threads wengine hata mlupo atataka umuunganishie.
Wanaume wafupi wanajua kujituma si mchezo, ataku-care, atakupa ma-love ya kufa mtu utahisi uko heaven...I love my kashotii😘
We ni kafupi pole
Sister, mbona unayumbayumba!!