Dada ulishawah kukutana na mm nn? Cc haturembi kunako watoto wa kike, tupo fasta five minutes zinatosha sana mbona kumsomesha mtoto wa kike. Kuna lijamaa moja nane nane ya mkoa flani lilimpenda dem moja ofc kwetu, likawa linajipitisha kila dk, me nikalipsha labda litaomba contacts, aliishia kuuliza jina tu na story pumba had shori akamzarau. Yani km angekua short af msumbufu mda mwingi nliomuachia demu angekua kaisha. Ukisikia mtu kasemewa "we zoba nn" lazma ukigeuka utakuta ni tall,huwez kuta tu mfupi af zoba, goigoi au kazubaa