Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Kwa comments tu humu unaweza kujua nani mrefu na nani mfupi...!!!
Kwanza pole kwa kipigo!!!
Kwa comments tu humu unaweza kujua nani mrefu na nani mfupi...!!!
Me mfupi ft5.4 na dem wangu ni ni ft6 ila naishi nae vzr. Nikitaka dog style inabd niongeze ktu flan chin ili ni mfikie. So mapenz ni namna ambavyo ww unavo weza kumvutia mwanamke, ukarimu wako, ucheshi wako kijali kwako hata km ataenda huko atarudi analia. Nikweli mwanamke anavutiwa na body structure lkn atakimbia tabia zako km ulevi, uchafu, uasherati, kutojituma kutafuta, kutomjali nk. Ukiwa mwanaume wa kweli itang'oa madem warefu km mnazi
Naja....
Hahahaha!! mzee kapata kipigo kutoka wapi?Kwanza pole kwa kipigo!!!
Hebu shuka kwa hapa chini mie nipo hapa villa park
Aaahh.... Ndio.naona hii comment nishaondoka niko Town. Kesho basi
Kwanza pole kwa kipigo!!!
warefu ni watamu...............................
ukiwaweka zagazaga au ukiwala chukuchuku?
chuku chuku fresh, zagazaga mwake........ yaani fuluuuuuu
Napita naenda kufunga sabato...
Habari za mchana watazamaji, washangaaji na wachangiaji wa nyuzi mbalimbali za majukwaa pendwa ya mtandao wetu bora kabisa wa JF.
Baada ya salaam hiyo naomba niende moja kwa moja kuwazungumzia watu warefu kwa kimo kwenye suala la tabia zao, haiba pamoja na mitazamo yao kwa watu wanaowazunguka.
Kusudi la thread hii ni kutaka kupata maoni mbalimbali kuhusu tabia za watu hao hasa ukizingatia kuwa wengi tunaishi nao na kufanya kazi na wengine na marafiki zetu.
Nimeamua kuweka uzi huu ili kupata uhakika wa yale yanayosemwa kuhusu watu warefu wa kimo kwamba wengi wao ni watu wenye dharau ila hawana sifa, wanajiamini(they are confident), kwa wanapendwq na akina dada/wanawake na endapo mwanamke/mdada ni mrefu wanaume wanamuhofu.
Je wewe unawaelewaje watu wa aina hii?
NOTE:
Watu warefu wapo wachache sana sio kama wengi wanavyodhani,. Na urefu ninaousemea hapa na above 6ft yaani 6+.
Nakaribisha maoni yenu.