Tabia mbalimbali za watu warefu

Tabia mbalimbali za watu warefu

Nina rafiki yangu ni tall hatar made in Uganda hahahaaaaaa .....
Anajiamini
Ni mcheshi ila hana maneno mengi
 
Hatuongei sana kwa wachumba na wanapenda kulala kifuani kwetu warefu.na wanawake wanajisikia kuwa wako na mme bila kusahau dushele zetu sawa na viungo vyote ni vilefu.kibamia


swissme
 
Hivi huu urefu niupi? Kuna tofauti kati ya urefu wa kibongo na urefu wa kizungu na kuna utofauti wa urefu wa wachina na wajapani, watu wafupi ndio wenye vitabia vya ajabuajabu ili kujenga hoja kuwa nao wako kamili.
 
Hatuongei sana kwa wachumba na wanapenda kulala kifuani kwetu warefu.na wanawake wanajisikia kuwa wako na mme bila kusahau dushele zetu sawa na viungo vyote ni vilefu.kibamia


swissme

Funguka baba
 
Back
Top Bottom