Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
Vip kwani wew mrefu
Kafupi hako achananacho! teh teh teh!
Cc: Konda wa bodaboda.
Vip kwani wew mrefu
Mtu mcheshi ni tofauti na muongeaji ujue sip mtu unaongeeeeea hadi aibu
Hapana.
Kafupi hako achananacho! teh teh teh!
Cc: Konda wa bodaboda.
Hakukua na ulazima wa kufunguka mkuu!
Ohoo! Nilijua Ucheshi Goes Simultaneously With Kuongea-ongea, Kumbe sivyo! Hv Unaweza Ukatabasamu tu na ukapewa sifa ya ucheshi Bila Kuongea-ongea?
No si kuna picha ime-attachiwa ndo nimeuliza umeiona?
Sharti mtoto wa kike kuwa na pozi la kichokozi....
Wafupi they are only who create problems. Yaani utamkuta na euro 100 vlub kazi zao ni kusumbua tu balaa kweli vibamia
swissme.
Tunawapenda sana ila mnatutesa sana looo mapozi mengi ni shida
Tolu mimi sinaga pozi na wenye mbunye!
Haki ya mama!
Unataka picha za nani?Hapana sijaiona hiyo!
jee waweza nitumia kwa wozap?
Kwanini mkuu?
Hahahahaaaaaa! thatha mi nna bifu na viomolo! itakuaje hapo?
Ukiwa na sifa mbaya hautakiwi kuipublish!
Hebu mtake radhi ndugu yangu afu nina wasiwasi na urefu wako ukute uko kwenye masikio tu Mashaxizo