Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Sijalaumu kunikataa ni maamuzi yake, ila swala lipo kweye kurudi ndo kilichofanya niindike hii thread...inafikirisha mkuu kama mwanzo ulikikataa kwasababu zako,

sasa je unaporudi inamaana yule mtu kabadilika au sababu zako hazikuwa za msingi.
Kama alikukataa mwanzo hilo ndio jibu sahihi kwenye moyo wake. Hii second chance ukirudia naye tunakusubiri mrejesho wa Thread ya kuchapiwa na X-wake.
 
Interesting
Daaah tunapitia magumu sana wanamme but I know she real miss the way i treated her, demu alikuwa ananambia anamtu wake lakin muda mwingi usiku mie ndio naongea nae kwa simu hadi anasinzia ,mkichat WhatsApp akikuaga last seen atayokuachana nayo ndio hadi kesho yake asbh, kuomba omba vi vocha hivii, ngoja aende huko anakopenda yeye.

Huyu manzi hadi mamake alikuwa yuko side yangu na most of her friends pia lakn cjui mwenyewe siwez mlaumuu
 
Kwaiyo since 2019 to 2023 hukumla ulikuwa unamsimp tu daaah

We ni fala sana mkuu
Daaaah sure kaka i was simping on her , i was just trying to act like a gentle, kumbe nikachelewa kwenye timing but kama umesoma fresh hapo miaka ya kati nilimpotezea baada ya kusema ye bado mdogo kiumri, 2021 hivi to 2022 ndio nika commit akaja nitolea nje kwa maneno makai ambayo hadi leoo hakuna mwanamke aliyewahi nambia daaah kuna muda najiona falaaa sana yan mtoto mdogo wa 2001 sijui hukoo kuniambia vileee sema ni zile za kusema ngoja nikomaee may be kesho atasomeka fresh lakn it was all in vain

Now sina story nae tena zaid ya kuview status with none commenting on one another post
 
Daaah tunapitia magumu sana wanamme but I know she real miss the way i treated her, demu alikuwa ananambia anamtu wake lakin muda mwingi usiku mie ndio naongea nae kwa simu hadi anasinzia ,mkichat WhatsApp akikuaga last seen atayokuachana nayo ndio hadi kesho yake asbh, kuomba omba vi vocha hivii, ngoja aende huko anakopenda yeye.

Huyu manzi hadi mamake alikuwa yuko side yangu na most of her friends pia lakn cjui mwenyewe siwez mlaumuu
Alikufanyaje? Mboni km unalialia?
 
Usijpojiangalia utajikuta unaenda kula makombo tena.

Harafu nyie mnataka shida wenyewe mnatongoza watoto wa 17yrs mnataka stress za bure hao hawajui kitu
Yes at that age huyu dogo alikuwa yuko matured kiakili sawa na wenzje wa 20s thus nikamuwin japo washaenda wengine kitambo wakachomolewa, issue tu kupata namba yake napo ilikuwa mtihan hivo hivooo nikasonga wakati yuko 19 ndio nikaanza ingzia story za kudate ndio akaanza nizungusha ,nikaja nikamute mwaka 2021 nikamkamia akanambia anamtu wake nimechelewa nikaenda hadi 2022 ,then nika write BAD DEBT nikaclose vutabu vyangu vya account
 
Daaaah sure kaka i was simping on her , i was just trying to act like a gentle, kumbe nikachelewa kwenye timing but kama umesoma fresh hapo miaka ya kati nilimpotezea baada ya kusema ye bado mdogo kiumri, 2021 hivi to 2022 ndio nika commit akaja nitolea nje kwa maneno makai ambayo hadi leoo hakuna mwanamke aliyewahi nambia daaah kuna muda najiona falaaa sana yan mtoto mdogo wa 2001 sijui hukoo kuniambia vileee sema ni zile za kusema ngoja nikomaee may be kesho atasomeka fresh lakn it was all in vain

Now sina story nae tena zaid ya kuview status with none commenting on one another post
Mi nilipewa shit moja tu MOVE ON WITH YOU LIFE nikasema umesema? Akasema haujasikia au haujaelewa nikasema FRESH futa zake data zoote hata kwenye recycle bin nikachill down nikala movie kesho yake kaja anaanza mbanga zake nikamwambia we mbwa Jana si uliniambia ni MOVE ON leo unanifuatia nini?
 
Hiii ni kweli asee duu 4 years kaambulia hewa wakati wengine in 4 days mpaka kwa mpalange wanapewa
Sio demu kaka yule ni mke , yule kama dhahabu kaka huipati juu juu kama mchanga.

Mbona hao wa siku moja kaka tunakula, we kama umeoa au kama kuna mtu kaoa humu aje aseme kama alipata mke ndani ya siku nne.

Mke kaka sio mademu wa pale kimboka au CDA, Chako ni chako
She was a wife material thus nikainvest na niliinvest much kwake ili badae nikija bounce niwe Sina regrets kwamba i gave all i can do but it didn't work on my side
 
Mi nilipewa shit moja tu MOVE ON WITH YOU LIFE nikasema umesema? Akasema haujasikia au haujaelewa nikasema FRESH futa zake data zoote hata kwenye recycle bin nikachill down nikala movie kesho yake kaja anaanza mbanga zake nikamwambia we mbwa Jana si uliniambia ni MOVE ON leo unanifuatia nini?
Saiz kaka nimekuwa mdeadly kinoma yule nilikuwa bwege kwake coz nlikuwa na future nae sio hawa wakusuuza rungu hao huwa sichukui time nimesha dump huko
 
Daaah tunapitia magumu sana wanamme but I know she real miss the way i treated her, demu alikuwa ananambia anamtu wake lakin muda mwingi usiku mie ndio naongea nae kwa simu hadi anasinzia ,mkichat WhatsApp akikuaga last seen atayokuachana nayo ndio hadi kesho yake asbh, kuomba omba vi vocha hivii, ngoja aende huko anakopenda yeye.

Huyu manzi hadi mamake alikuwa yuko side yangu na most of her friends pia lakn cjui mwenyewe siwez mlaumuu
Kuna kitu nikikumbuka mpaka leo kinanikeleketa kis*nge

Kuna huyo dem alikuwa mkali kichizi nilikuwa nampiga maelezo aninichomolea anasema anajamaa ake lakini mda wote anataka awe na mimi tena anakuja ghetto kabisa all the time

Nikigusia hiyo mada anajifanya kumaindi baada ya nusu saa anakuja tena ghetto, mi na ujinga wangu hata simgusi

Sikuhizi ndo najua sikuwa nahaja yakujieleza vile
 
Sio demu kaka yule ni mke , yule kama dhahabu kaka huipati juu juu kama mchanga.

Mbona hao wa siku moja kaka tunakula, we kama umeoa au kama kuna mtu kaoa humu aje aseme kama alipata mke ndani ya siku nne.

Mke kaka sio mademu wa pale kimboka au CDA, Chako ni chako
She was a wife material thus nikainvest na niliinvest much kwake ili badae nikija bounce niwe Sina regrets kwamba i gave all i can do but it didn't work on my side
Noma sana kwa hio ulichezea za mbavu alafu kuna muhuni tu somewhere anaempakua mda huu bila kujali future yake itakuaje akishachoka kubanjuliwa huko kachakaa atakutafuta aje kufia ghetto kwako au utamkataa?
 
Back
Top Bottom