an alpha male
JF-Expert Member
- Mar 28, 2022
- 1,035
- 2,238
- Thread starter
- #101
Kuna ukweli humu ndo maana wamekimbiaHuu Uzi wanawake siwaoni hahaha
Kuna ukweli humu ndo maana wamekimbiaHuu Uzi wanawake siwaoni hahaha
Sijalaumu kunikataa ni maamuzi yake, ila swala lipo kweye kurudi ndo kilichofanya niindike hii thread...inafikirisha mkuu kama mwanzo ulikikataa kwasababu zako,
sasa je unaporudi inamaana yule mtu kabadilika au sababu zako hazikuwa za msingi.
Kwa hyo na ww ukakaa ukaanza kabisa kumwambia mwanamke ooh nakupenda sijui nin na nnWanawake ni wabinafsi sana, i remember two years ago niliwahi muapproach mwanamke mmoja tukiwa chuo, akanireject tena sio kunireject na some kind of drama kibao, mara afanye kushikana kimahaba na mens wengine infront of me,nk;
Usipend kujumuisha watu. Je na mama yako ni mbinafsi? Je wanaume siyo wabinafsi? Lete lau ushahidi wa kitafiti japo kidogoWanawake ni wabinafsi sana, i remember two years ago niliwahi muapproach mwanamke mmoja tukiwa chuo, akanireject tena sio kunireject na some kind of drama kibao, mara afanye kushikana kimahaba na mens wengine infront of me,nk;
Kukataliwa kigaidi kupi uko mzee tupe kisaBeing rejected is part of men's life. Mm jana tu nimekataliwa kwa staili yabkigaid sana. Ila maisha yanaendelea. Unakamata mwingine unachapa na ww unasepa

Nakupenda??ume quote wapi hyo mkuu...Kwa hyo na ww ukakaa ukaanza kabisa kumwambia mwanamke ooh nakupenda sijui nin na nn
Ni kweli ila hii ni lifestyle yako, kila mtu anayakwake utachapa wangapi mwisho wa siku utachapa majiniBeing rejected is part of men's life. Mm jana tu nimekataliwa kwa staili yabkigaid sana. Ila maisha yanaendelea. Unakamata mwingine unachapa na ww unasepa


Punguza jazba ndugu, nimesema wengi sio wote.Usipend kujumuisha watu. Je na mama yako ni mbinafsi? Je wanaume siyo wabinafsi? Lete lau ushahidi wa kitafiti japo kidogo
Wew umefikiria nini mkuuTatizo Bado hulijui mpaka Leo hii
Sio kweli
Demu mkiwa level sawa kuna vidharau wanaoneshaga sana.. Unless muwe Katika level Moja afu wewe uwe kitu unique ambacho kwake yeye ndo Interest yake ... Hapo utamkula bila shida.Wew umefikiria nini mkuu
Ooh Kila mtu ana tips zake kutokana na aina ya ke anayetaka, labd yeye anapata bitches ,asee nina harem ya wanawake wengi pia nafasi bado zipo kwaajili ya wengi zaid...wanna join themMiguuni pako.
Ukimpenda mwanamke usijihangaishe hata siku moja kumsoundisha.
Nenda kwa DeepPond akufundishe amewezaje kua na wanawake kumi na wanamlilia kukicha![]()
Daah nimkuelewa sana maelezo yako, ila hyo conclusion daaahDemu mkiwa level sawa kuna vidharau wanaoneshaga sana.. Unless muwe Katika level Moja afu wewe uwe kitu unique ambacho kwake yeye ndo Interest yake ... Hapo utamkula bila shida.
Kwa sasa hv tatizo lake keshapoteza mchezo.
Dakika ya 87 afu 3:0
Mgonge kama mara 3 hv akolee afu umpige Chini.
Usimpe dhamana single mother.
Single mother ni ng'ombe wa kuchinja, Hafugiki.


Nipo hapa Ziwa Victoria navuaa Dagaa.. utanikuta.Daah nimkuelewa sana maelezo yako, ila hyo conclusion daaah![]()
👀👀Ooh Kila mtu ana tips zake kutokana na aina ya ke anayetaka, labd yeye anapata bitches ,asee nina harem ya wanawake wengi pia nafasi bado zipo kwaajili ya wengi zaid...wanna join them
Huo ni ukatiliNipo Niko hapa Ziwa Victoria navuaa Dagaa.. utanikuta.
Opposite yake niite Aisha ma UTI wa Tabata Bima.
Let us start a fresh night then

Pepo trokaaaaaaaaa.Let us start a fresh night then![]()