Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Wanawake ni wabinafsi sana, i remember two years ago niliwahi muapproach mwanamke mmoja tukiwa chuo, akanireject tena sio kunireject na some kind of drama kibao, mara afanye kushikana kimahaba na mens wengine infront of me,nk;

moja kati ya kitu niko vizuri ni emotional intelligence basi japo ilikuw inaniumiza kiasi ila sikuwahi kumuonesha ajue...it was just me and my soul...

ikafika kipindi akaacha hyo tabia baada kuona i don't give a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala about anything, but tulikuwa tuna tendency ya kuchat ,dah asee lakini nikigusia swala la kuwa naye alikuwa anakaza all she say its i want to be just friends only.
Once namuapproach alisema hana mtu na haitaji kwa sasa, ila baada ya kuimbisha sana akaniambi kuna mtu anampenda, ooh jibu lililonifanya ni move on kabisa na nikate mawasiliano naye kabisa,,,,,

life likaendelea now ni miaka miwili passed, ananichek she is a single mother and she say she loves me, she text everytime, calls all she say is i want to be with you, kila nikiongea naye huwa naenda kama yeye, anavyotaka sijawahi kumuonesha kama nimebadili mtazamo wa hisia zangu kwake.

but kiukweli i love her but i can't be with her... kiukweli huyu mwanamke alijua nampenda kweli ila shida ipo hapa kwenye timing za mapenzi

my point is; "women's knows the man who truly loves them, but sometimes for the search of their lifestyle their reject the man who truly loves them, and ends up in regrets."

ndo maana hata mwanamke akikukataa, au akakucheat akienda huku anakoenda, ila moyoni mwake anajua kabisa kuna mwanaume fulani ananipenda kweli, ila wanawke wanatabia ya kujaribu, anaweza akahisi kabisa mahusiano na mwanaume fulani hatuwezi kudumu ila ankubali hivyo hivyo akifail, kesha pewa mimba jamaa kakimbia ndo anarudi kwa yule ambaye alimkataa mwanzo anayejua huyu ndo sahihi.

sasa hapa ndo wao wanapopoteza ramani ya maisha yao kabisa sababu, tayari anakuwa single mother na wewe upendo ulisha potea, ila yeye anafikiri zile hisia zako zitakuwa vile vile kama mwanzo.. Kumbe everything has changed. Ndo hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha..unabaki ni majuto tu...
if you're to jump of o bridge, make sure you know how deep the water is.
Braza mkule usepe acha kulalamika
 
Ndo hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha..unabaki ni majuto tu..



Ndo nachokifanya mimi.Na bandiko hili linanihusu sana tu.Hadi sasa wadada 4 niliotaka kuwaoa tena kwa heshima zote wamezalishwa na kuachwa et now wananibana niwaoe, hah wanacheza hawa.
 
Ndo hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha..unabaki ni majuto tu..



Ndo nachokifanya mimi.Na bandiko hili linanihusu sana tu.Hadi sasa wadada 4 niliotaka kuwaoa tena kwa heshima zote wamezalishwa na kuachwa et now wananibana niwaoe, hah wanacheza hawa.
hii kitu ipo sana ukimu-undermine mtu lazima karma ikupate uje umrudie, ndicho kinachowarudia hao
 
Ndo hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha..unabaki ni majuto tu..



Ndo nachokifanya mimi.Na bandiko hili linanihusu sana tu.Hadi sasa wadada 4 niliotaka kuwaoa tena kwa heshima zote wamezalishwa na kuachwa et now wananibana niwaoe, hah wanacheza hawa.
Hahaha its your turn now, what goes around comes around.
 
Huu ujinga wanao wanawake wengi wakiona wamechoka na kupoteza muelekeo huanza kuwatafuta wale wanaume wanao ona wao ni wapumbavu na wajinga wajinga!

Maana ni mwanaume mjinga na mpumbavu ndio anaweza beba mzigo wa mwanamke wa nmana hiyo…
 
Wanawake ni wabinafsi sana, i remember two years ago niliwahi muapproach mwanamke mmoja tukiwa chuo, akanireject tena sio kunireject na some kind of drama kibao, mara afanye kushikana kimahaba na mens wengine infront of me,nk;

moja kati ya kitu niko vizuri ni emotional intelligence basi japo ilikuw inaniumiza kiasi ila sikuwahi kumuonesha ajue...it was just me and my soul...

ikafika kipindi akaacha hyo tabia baada kuona i don't give a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala about anything, but tulikuwa tuna tendency ya kuchat ,dah asee lakini nikigusia swala la kuwa naye alikuwa anakaza all she say its i want to be just friends only.
Once namuapproach alisema hana mtu na haitaji kwa sasa, ila baada ya kuimbisha sana akaniambi kuna mtu anampenda, ooh jibu lililonifanya ni move on kabisa na nikate mawasiliano naye kabisa,,,,,

life likaendelea now ni miaka miwili passed, ananichek she is a single mother and she say she loves me, she text everytime, calls all she say is i want to be with you, kila nikiongea naye huwa naenda kama yeye, anavyotaka sijawahi kumuonesha kama nimebadili mtazamo wa hisia zangu kwake.

but kiukweli i love her but i can't be with her... kiukweli huyu mwanamke alijua nampenda kweli ila shida ipo hapa kwenye timing za mapenzi

my point is; "women's knows the man who truly loves them, but sometimes for the search of their lifestyle their reject the man who truly loves them, and ends up in regrets."

ndo maana hata mwanamke akikukataa, au akakucheat akienda huku anakoenda, ila moyoni mwake anajua kabisa kuna mwanaume fulani ananipenda kweli, ila wanawke wanatabia ya kujaribu, anaweza akahisi kabisa mahusiano na mwanaume fulani hatuwezi kudumu ila ankubali hivyo hivyo akifail, kesha pewa mimba jamaa kakimbia ndo anarudi kwa yule ambaye alimkataa mwanzo anayejua huyu ndo sahihi.

sasa hapa ndo wao wanapopoteza ramani ya maisha yao kabisa sababu, tayari anakuwa single mother na wewe upendo ulisha potea, ila yeye anafikiri zile hisia zako zitakuwa vile vile kama mwanzo.. Kumbe everything has changed. Ndo hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha..unabaki ni majuto tu...
if you're to jump of o bridge, make sure you know how deep the water is.
kiumbe anayeitwa mwanamke... binti/msichana unahitaji akili tu kuishi naye, nje ya hapo utajuta na kupoteza focus ya maisha kama mwanaume.. Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume, Mwanaume ameumbwa kwa ajili ya Mungu sio mwanamke... amka usingizini..
 
kiumbe anayeitwa mwanamke... binti/msichana unahitaji akili tu kuishi naye, nje ya hapo utajuta na kupoteza focus ya maisha kama mwanaume.. Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume, Mwanaume ameumbwa kwa ajili ya Mungu sio mwanamke... amka usingizini..
Asthuke sio
 
Sijalaumu kunikataa ni maamuzi yake, ila swala lipo kweye kurudi ndo kilichofanya niindike hii thread...inafikirisha mkuu kama mwanzo ulikikataa kwasababu zako,

sasa je unaporudi inamaana yule mtu kabadilika au sababu zako hazikuwa za msingi.
Alikukataa vile alikuwa kwenye mahusiano au ulitaka akudanganye. Ila vile kule mkataba umeisha ndo maaba kakufata kiufupi ulikuwa kwenye waiting list
 
Back
Top Bottom