Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

sure uko sahihi, nashangaa hilo pia two years na bado alikuwa na namba zangu.
asilimia kubwa ya wanawake hata kama ulimu-approach tu na hata kama alishablock namba yako ya simu huwa hawafuti namba labda atafuta namba yako akishaolewa. tofauti na wanaume wengi huwa wanafuta namba ya simu ndani ya muda mfupi tu baada ya uhusiano/mawasiliano kuharibika.
 
Wanawake wabinafsi Sana Kila anachokifanya mwanamke ni Kwa faida yake mwenyewe hapo anasema anakupenda Kwa ajili ya sababu za kibinafsi ila kiukwweli hakupendi.Usije ukazama utalia ndugu yangu.

Ukimkaribisha kwenye maisha Yako atakufanyia vituko vyote Ili uwe chini yake.
 
asilimia kubwa ya wanawake hata kama ulimu-approach tu na hata kama alishablock namba yako ya simu huwa hawafuti namba labda atafuta namba yako akishaolewa. tofauti na wanaume wengi huwa wanafuta namba ya simu ndani ya muda mfupi tu baada ya uhusiano/mawasiliano kuharibika.
asee hii ni kweli kabisa nakubaliana na wewe.
 
Wanawake wabinafsi Sana Kila anachokifanya mwanamke ni Kwa faida yake mwenyewe hapo anasema anakupenda Kwa ajili ya sababu za kibinafsi ila kiukwweli hakupendi.Usije ukazama utalia ndugu yangu.

Ukimkaribisha kwenye maisha Yako atakufanyia vituko vyote Ili uwe chini yake.
Ni kweli ni opportunist period sana wanawake akishapata anchotaka atakumwaga kama mchele kuku wakudonoe..
 
Halafu don't you want a woman who loves you back!!! Unataka awe na wewe hata ikibidi awe anavuta hisia za marehemu ndo apate hisia na wewe!!
 
Back
Top Bottom