Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Noma sana kwa hio ulichezea za mbavu alafu kuna muhuni tu somewhere anaempakua mda huu bila kujali future yake itakuaje akishachoka kubanjuliwa huko kachakaa atakutafuta aje kufia ghetto kwako au utamkataa?
hahaah eti "utamkataa" wanaume tumeumbiwa mateso haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ni wabinafsi sana, I remember two years ago niliwahi muapproach mwanamke mmoja tukiwa chuo, akanireject tena sio kunireject na some kind of drama kibao, mara afanye kushikana kimahaba na men wengine infront of me, nk.

Moja kati ya kitu niko vizuri ni emotional intelligence, basi japo ilikuwa inaniumiza kiasi ila sikuwahi kumuonesha ajue, it was just me and my soul.

Ikafika kipindi akaacha hiyo tabia baada kuona Idon't give a F about anything, but tulikuwa tuna tendency ya kuchat, dah asee lakini nikigusia swala la kuwa naye alikuwa anakaza, all she say its I want us to be just friends only.

Once namuapproach alisema hana mtu na haitaji kwa sasa, ila baada ya kuimbisha sana akaniambi kuna mtu anampenda, jibu lililonifanya ni move on kabisa na nikate mawasiliano naye kabisa.

Life likaendelea now ni miaka miwili passed, ananichek she is a single mother and she say she loves me, she texts everytime, calls all she say is I want to be with you, kila nikiongea naye huwa naenda kama yeye, anavyotaka sijawahi kumuonesha kama nimebadili mtazamo wa hisia zangu kwake.

But kiukweli I love her but i can't be with her. Kiukweli huyu mwanamke alijua nampenda kweli ila shida ipo hapa kwenye timing za mapenzi.

My point is; women's knows the man who truly loves them, but sometimes for the search of their lifestyle they reject the man who truly loves them, and ends up in regrets.

Ndio maana hata mwanamke akikukataa, au akakucheat akienda huku anakokwenda, ila moyoni mwake anajua kabisa kuna mwanaume fulani ananipenda kweli, ila wanawke wanatabia ya kujaribu.

Anaweza akahisi kabisa mahusiano na mwanaume fulani hatuwezi kudumu ila ankubali hivyo hivyo akifail, keshapewa mimba, jamaa kakimbia ndio anarudi kwa yule ambaye alimkataa mwanzo, anayejua huyu ndio sahihi.

Sasa hapa ndio wao wanapopoteza ramani ya maisha yao kabisa, sababu tayari anakuwa single mother na wewe upendo ulisha potea, ila yeye anafikiri zile hisia zako zitakuwa vile vile kama mwanzo, kumbe everything has changed.

Ndio hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha, unabaki ni majuto tu.

If you're to jump off the bridge, make sure you know how deep the water is.
Unavyoandika kama hatokuja kupata bwana mwingine 😆😆😆😆 unachotakiwa kujifunza hakuwa fungu lako tembea mbele haupo mwenyewe duniani wapo watu kibao watampa maisha na u single maza wake. Tusijipe sana umuhimu kwenye maisha ya watu. Anachotaka now ni kukuvuruga maisha yako na ww hakuna mwanamke anapenda mtu alafu akaenda kuzaa na mtu mwingine. Ukichunguza vizuri aliezaa nae ndie alie mpenda haijalishi yupo nae au hayupo nae kwa sasa
 
Yeaah sure kuna mademu huwez kuchange mindset zao, saiv na go with the flow sina muda wa kupoteza ukinizingatia freshi ukijiona uko na ego za kutoshaa nakuachaaa
hii ni sahihi mkuu sisi tuliojaribu kuwabadilisha wanawake tuliangukia pua. atabadilika kwa wakati ule mnaanza anza mkishazoeana anarudi kule kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume tumepewa wanawake wawe mashamba yetu .
Wanawake ni maua ya Dunia.
Wanawake hawaamui kuwa na mtu kwa kuwa anampenda.
Kazi ya mwamke ni kuheshimu tu Sio kupenda kupenda ni kazi ya mwanaume.
Asante!
 
Brother, unajiita an alpha male, Alpha Male ni neno linalotumiwa kuelezea mwanaume mwenye tabia za uongozi, ambaye ana uwezo wa kuwavutia wanawake na kufanya maamuzi bora. Kwa hivyo, unapojitambulisha kama Alpha Male, unatarajiwa kuwa na uhakika wa kibinafsi na kuwa na uwezo wa kuvumilia kukataliwa na wanawake.

Kwa hivyo, kwa nini unamjali sana mwanamke ambaye amekukataa zamani? Kwanini unamruhusu afanye drama kwa sababu tu amekukataa? Kama Alpha Male, unatarajiwa kuwa na nguvu na kujiamini, na kutambua kwamba kukataliwa sio kitu kikubwa.

Kwa kuzingatia ujumbe wako, inaonekana kuwa unampenda mwanamke huyo lakini huna uhakika juu ya uhusiano wako naye. Kama Alpha Male, unahitaji kuwa na ujasiri na kujiamini katika maamuzi yako ya kimapenzi.

Wakati mwingine, wanawake wanakataa wanaume ambao kweli wanawapenda kwa sababu wanatafuta mtu ambaye anaendana na mtindo wao wa maisha. Kwa hivyo, kama mwanaume, unahitaji kutambua kwamba kukataliwa sio lazima iwe mwisho wa ulimwengu, na kwamba unaweza kumpata mtu ambaye atakupenda kwa heshima na upendo.

Kwa ufupi, kama Alpha Male, unahitaji kuwa na uhakika wa kibinafsi na kuwa na uwezo wa kuvumilia kukataliwa. Usiruhusu mwanamke ambaye amekukataa kukuzuia kufikia mafanikio yako katika maisha na mapenzi. Kuwa mwanaume wa kweli, kujiamini na ujasiri, na utapata mafanikio ya kimapenzi.
kongole mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother, unajiita an alpha male, Alpha Male ni neno linalotumiwa kuelezea mwanaume mwenye tabia za uongozi, ambaye ana uwezo wa kuwavutia wanawake na kufanya maamuzi bora. Kwa hivyo, unapojitambulisha kama Alpha Male, unatarajiwa kuwa na uhakika wa kibinafsi na kuwa na uwezo wa kuvumilia kukataliwa na wanawake.

Kwa hivyo, kwa nini unamjali sana mwanamke ambaye amekukataa zamani? Kwanini unamruhusu afanye drama kwa sababu tu amekukataa? Kama Alpha Male, unatarajiwa kuwa na nguvu na kujiamini, na kutambua kwamba kukataliwa sio kitu kikubwa.

Kwa kuzingatia ujumbe wako, inaonekana kuwa unampenda mwanamke huyo lakini huna uhakika juu ya uhusiano wako naye. Kama Alpha Male, unahitaji kuwa na ujasiri na kujiamini katika maamuzi yako ya kimapenzi.

Wakati mwingine, wanawake wanakataa wanaume ambao kweli wanawapenda kwa sababu wanatafuta mtu ambaye anaendana na mtindo wao wa maisha. Kwa hivyo, kama mwanaume, unahitaji kutambua kwamba kukataliwa sio lazima iwe mwisho wa ulimwengu, na kwamba unaweza kumpata mtu ambaye atakupenda kwa heshima na upendo.

Kwa ufupi, kama Alpha Male, unahitaji kuwa na uhakika wa kibinafsi na kuwa na uwezo wa kuvumilia kukataliwa. Usiruhusu mwanamke ambaye amekukataa kukuzuia kufikia mafanikio yako katika maisha na mapenzi. Kuwa mwanaume wa kweli, kujiamini na ujasiri, na utapata mafanikio ya kimapenzi.
Sawa kaka
 
Unavyoandika kama hatokuja kupata bwana mwingine unachotakiwa kujifunza hakuwa fungu lako tembea mbele haupo mwenyewe duniani wapo watu kibao watampa maisha na u single maza wake. Tusijipe sana umuhimu kwenye maisha ya watu. Anachotaka now ni kukuvuruga maisha yako na ww hakuna mwanamke anapenda mtu alafu akaenda kuzaa na mtu mwingine. Ukichunguza vizuri aliezaa nae ndie alie mpenda haijalishi yupo nae au hayupo nae kwa sasa
Daah umeongea ukweli mchungu sana mkuu
 
Wanawake ni wabinafsi sana, I remember two years ago niliwahi muapproach mwanamke mmoja tukiwa chuo, akanireject tena sio kunireject na some kind of drama kibao, mara afanye kushikana kimahaba na men wengine infront of me, nk.

Moja kati ya kitu niko vizuri ni emotional intelligence, basi japo ilikuwa inaniumiza kiasi ila sikuwahi kumuonesha ajue, it was just me and my soul.

Ikafika kipindi akaacha hiyo tabia baada kuona Idon't give a F about anything, but tulikuwa tuna tendency ya kuchat, dah asee lakini nikigusia swala la kuwa naye alikuwa anakaza, all she say its I want us to be just friends only.

Once namuapproach alisema hana mtu na haitaji kwa sasa, ila baada ya kuimbisha sana akaniambi kuna mtu anampenda, jibu lililonifanya ni move on kabisa na nikate mawasiliano naye kabisa.

Life likaendelea now ni miaka miwili passed, ananichek she is a single mother and she say she loves me, she texts everytime, calls all she say is I want to be with you, kila nikiongea naye huwa naenda kama yeye, anavyotaka sijawahi kumuonesha kama nimebadili mtazamo wa hisia zangu kwake.

But kiukweli I love her but i can't be with her. Kiukweli huyu mwanamke alijua nampenda kweli ila shida ipo hapa kwenye timing za mapenzi.

My point is; women's knows the man who truly loves them, but sometimes for the search of their lifestyle they reject the man who truly loves them, and ends up in regrets.

Ndio maana hata mwanamke akikukataa, au akakucheat akienda huku anakokwenda, ila moyoni mwake anajua kabisa kuna mwanaume fulani ananipenda kweli, ila wanawke wanatabia ya kujaribu.

Anaweza akahisi kabisa mahusiano na mwanaume fulani hatuwezi kudumu ila ankubali hivyo hivyo akifail, keshapewa mimba, jamaa kakimbia ndio anarudi kwa yule ambaye alimkataa mwanzo, anayejua huyu ndio sahihi.

Sasa hapa ndio wao wanapopoteza ramani ya maisha yao kabisa, sababu tayari anakuwa single mother na wewe upendo ulisha potea, ila yeye anafikiri zile hisia zako zitakuwa vile vile kama mwanzo, kumbe everything has changed.

Ndio hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha, unabaki ni majuto tu.

If you're to jump off the bridge, make sure you know how deep the water is.
Hivi mkiandika kiswaEnglish hua mnadhani ni sifa au ni ushamba tu unawasumbua?
 
Aisee me demu akiniambia sikutaki siwez mtafuta tena kwa sababu yoyote ile!!! Hawa wanawake tena hivi vitoto ukionesha kuvipenda sana ndo vinakuona boya F mambo ya kutongozana na demu week nzima me ndo sijawahi kuweza Mashangazi yapo mnahangaika nini
Nimejifunza kaka saiv nimwendo wa kuwa taliban tu
 
Unavyoandika kama hatokuja kupata bwana mwingine unachotakiwa kujifunza hakuwa fungu lako tembea mbele haupo mwenyewe duniani wapo watu kibao watampa maisha na u single maza wake. Tusijipe sana umuhimu kwenye maisha ya watu. Anachotaka now ni kukuvuruga maisha yako na ww hakuna mwanamke anapenda mtu alafu akaenda kuzaa na mtu mwingine. Ukichunguza vizuri aliezaa nae ndie alie mpenda haijalishi yupo nae au hayupo nae kwa sasa
Hii ya kuwa aliezaa nae eti ndiyo aliyempenda sio lazima iwe sahihi muda wote.

Kuna ile kupigwa mimba kijanja na wanamme wajanja inakuwa imetoka hiyo
 
Mwanaume ukiamua kumove on hakikisha unamove on mazima Wala usirudi nyuma.

Mtoa mada huyo demu alikukataa Mara ya kwanza tena akaona haitoshi akaamua kukuonyesha dharau kwa kubebishana na wanaume wengine mbele yako,yameshamkuta huko karudi kwako anaanza kukudanganya eti anakupenda afu wewe unamsikiliza.

Piga chini hiyo takataka Mara Moja na ikiwezekana futa number zake, vinginevyo muda si mrefu naona utakuja na Uzi humu ukilia Lia eti amekusaliti.
 
Back
Top Bottom