Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Tabia inayoharibu maisha ya wanawake

Daaaah sure kaka i was simping on her , i was just trying to act like a gentle, kumbe nikachelewa kwenye timing but kama umesoma fresh hapo miaka ya kati nilimpotezea baada ya kusema ye bado mdogo kiumri, 2021 hivi to 2022 ndio nika commit akaja nitolea nje kwa maneno makai ambayo hadi leoo hakuna mwanamke aliyewahi nambia daaah kuna muda najiona falaaa sana yan mtoto mdogo wa 2001 sijui hukoo kuniambia vileee sema ni zile za kusema ngoja nikomaee may be kesho atasomeka fresh lakn it was all in vain

Now sina story nae tena zaid ya kuview status with none commenting on one another post
Kwani alikuwa pisi kali mpaka umkomalie hivyo mkuu
 
Sio demu kaka yule ni mke , yule kama dhahabu kaka huipati juu juu kama mchanga.

Mbona hao wa siku moja kaka tunakula, we kama umeoa au kama kuna mtu kaoa humu aje aseme kama alipata mke ndani ya siku nne.

Mke kaka sio mademu wa pale kimboka au CDA, Chako ni chako
She was a wife material thus nikainvest na niliinvest much kwake ili badae nikija bounce niwe Sina regrets kwamba i gave all i can do but it didn't work on my side
Basi inabidi uwe tu mr 💰
 
Inaonekana bado una utoto mwingi sana,na unafikiri unayajua mapenzi,huo muda wote uliokuwa unaupoteza kwake hakuwa kabisa na mapenzi na wewe,na hukuwa mtu wa type yake,hata sasa usifikiri kuwa ndio amerealize kuwa wewe ndio type yake,ukweli ni kuwa amekwama,na wale anaowataka yeye hawapati,na kwakuwa wewe ni king'ang'anizi usiyeonesha hisia kuwa umeumizwa,kaona ni bora ajishikize kwako ili maisha yasonge asionekane hana mtu.Huyo yuko desperate,na hakupendi,kilichoko ni kuwa anaowataka yeye hawana mpango na yeye....
Saikolojia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna mashiko. Huwezi ukatoa uzoefu wako bila kulinganisha na kupambanisha na wa wenzako ukajenga hoja.
Basi acha kila mtu, apite njia anayoona inamfaa, acha nibaki na msimamo wangu wewe baki na ubishi wako.
 
Tatizo hamhudhurii vikao

Kumtongoza mwanamke Ni kujishusha thamani, kutengeneza mazingira ya kukataliwa na kupigwa matukio

Mwanamke huwa anatongozwa baada ya kufanya nae tendo la ndoa/uzinzi
Hujui maana ya kutongoza kitendo cha kumtengenezea mazingira ya kumla mwanamke hata kama hukumwambia unampenda hio ni kutongoza tayari

Na hakunaga formula kwenye kutongoza
 
Hujui maana ya kutongoza kitendo cha kumtengenezea mazingira ya kumla mwanamke hata kama hukumwambia unampenda hio ni kutongoza tayari

Na hakunaga formula kwenye kutongoza
umejibu vyema sana, kuna watu hata maana ya kutongoza hawajui, wao wanafikiri mpaka useme nakupenda....kumbe kutongoza maana yake ni kumfanya mtu akubaliane na swala ambalo wewe unataka. Kwahyo haijalishi umetumia mbinu gani ilimradi amekubaliana na matakwa yako hapo umemtongoza tayari

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Wanawake ni wabinafsi sana, I remember two years ago niliwahi muapproach mwanamke mmoja tukiwa chuo, akanireject tena sio kunireject na some kind of drama kibao, mara afanye kushikana kimahaba na men wengine infront of me, nk.

Moja kati ya kitu niko vizuri ni emotional intelligence, basi japo ilikuwa inaniumiza kiasi ila sikuwahi kumuonesha ajue, it was just me and my soul.

Ikafika kipindi akaacha hiyo tabia baada kuona Idon't give a F about anything, but tulikuwa tuna tendency ya kuchat, dah asee lakini nikigusia swala la kuwa naye alikuwa anakaza, all she say its I want us to be just friends only.

Once namuapproach alisema hana mtu na haitaji kwa sasa, ila baada ya kuimbisha sana akaniambi kuna mtu anampenda, jibu lililonifanya ni move on kabisa na nikate mawasiliano naye kabisa.

Life likaendelea now ni miaka miwili passed, ananichek she is a single mother and she say she loves me, she texts everytime, calls all she say is I want to be with you, kila nikiongea naye huwa naenda kama yeye, anavyotaka sijawahi kumuonesha kama nimebadili mtazamo wa hisia zangu kwake.

But kiukweli I love her but i can't be with her. Kiukweli huyu mwanamke alijua nampenda kweli ila shida ipo hapa kwenye timing za mapenzi.

My point is; women's knows the man who truly loves them, but sometimes for the search of their lifestyle they reject the man who truly loves them, and ends up in regrets.

Ndio maana hata mwanamke akikukataa, au akakucheat akienda huku anakokwenda, ila moyoni mwake anajua kabisa kuna mwanaume fulani ananipenda kweli, ila wanawke wanatabia ya kujaribu.

Anaweza akahisi kabisa mahusiano na mwanaume fulani hatuwezi kudumu ila ankubali hivyo hivyo akifail, keshapewa mimba, jamaa kakimbia ndio anarudi kwa yule ambaye alimkataa mwanzo, anayejua huyu ndio sahihi.

Sasa hapa ndio wao wanapopoteza ramani ya maisha yao kabisa, sababu tayari anakuwa single mother na wewe upendo ulisha potea, ila yeye anafikiri zile hisia zako zitakuwa vile vile kama mwanzo, kumbe everything has changed.

Ndio hapo sasa unakutana na men mwengine anataka alipize kisasi ankujaza anapiga mzigo anakuacha, unabaki ni majuto tu.

If you're to jump off the bridge, make sure you know how deep the water is.
Nina dada yangu kuna kamakonde kalikua kanamfukuzia enzi hizo kanapigwa chini hakasikii, kwa mimi nilivoona kale ka jamaa kanampenda kweli sister maana kalikua kanataka kumuoa lakini kumbe sister alikua na li jamaa Lake liko mkoani.

Sasa lile jamaa lilimtorosha sister, tulimtafuta sana mpaka tukachoka ila alikua anapatikana kwenye sim ila ukipiga hapokei, mzee akamtumiaga txt ukipata tatizo nisihusishwe me sio mzazi wako tena,, ndo sister akapiga sim akasema ukweli yupo mkoa X na jamaa fulan.

Ikabidi wafungushwe ndoa ya mkeka waishi tu maana sister alikua haelewi kwa lile jamaa sijui lilimroga!! Wameishi wakapata mtoto wa kike baadae sjui hata kikatokea nn jamaa akamkimbia sister akamuachia na kila kitu wakaja kuachana.

Sasa baada ya kuachana dada akaendelea na maisha yake baadae yakamshinda akarudi hom, baada ya kurudi kakaa kama mwaka kale kamakonde wakawa wanawsiliana, yule mmakonde anataka amuoe yaani hajakataga tamaa!! Moyoni nikasema huyu kichwani ni chizi yaani dem alikukataaga akaolewa kazalishwa huko kaachika bado unaendlealea kumfukuzia!!

Mwisho wa siku yule mmakonde alimuoa sister (single maza) mpaka leo wanaishi na jamaa analea na yule mtoto ambae sio wake.

Kwahyo ni kweli wanawake wanajua kabisa watu wanaowapenda kweli ila wanapenda kujaribu kwa watu wasio sahihi yakiwashinda huko ndo wanajirudi huku
 
Back
Top Bottom