Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

Personally it never crosses my mind kumpiga mzinga mwanamke, labda niwe na shida saana, na huyo mwanamke awe mtu mzima ambae ni ndugu yangu ndo hela hapo nitakopa, kuliko kumkopa mdada wa rika langu, ntamfuata mwanaume mwenzangu anikope hela

1)I think wanawake wengi wanapiga mzinga ili kumkomoa mwanaume/kumuumiza mwanaume/ au kwasababu wana roho mbaya/ au kujichukulia kwamba jamii inamuona yeye ni mwanamke lazma apewe hela bila kufanya kazi (entitlement), na sio kwamba mtu ana genuine financial problem, hiyo ndo sisi wanaume hatutaki

2) Wengine wanapiga mizinga kwasababu ya njaa na uvivu a.k.a wanakuuzia k**a indirectly

2)Naona baadhi ya wanaume nao wameanza kupiga mizinga wanawake ili iwe 50/50...sasa mimi sipo huko mumu
Hiyo ya 50/50 wanakosea sana, maana wanapiga mizinga wasio na hatia
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
Kweli dadaangu nakubaliana na wewe 100% hili tatizo ni kubwa kwa sasa. Kwa vile wewe ni mwanamke umekumbana na kidume kinakupiga mzinga; lakini amini dadaangu tatizo hili ni kubwa mno kwa wanawake. Yaani hakuna msichana mimi nimewahi kuwa na urafiki tu asiombe hela , never. Yaani wengine utachat naye siku moja tu, ya pili tayari mzinga. Sasa najiuliza kabla hatujafahamiana ulikuwa unamuomba nani???? N.a. kumbuka hapo hata hamjaonana hata siku moja. Hili tatizo ni kubwa sana hasa kwa wanawake, na ni kero
 
Kutongozana PM lkn ikitokea hitilafu wanakuja tuwape mawazo. Muite na uyo mwenzio basi tuwasuluhishe maana papuchi kashakula na pesa kachukuwa hhhhh
 
Personally it never crosses my mind kumpiga mzinga mwanamke, labda niwe na shida saana, na huyo mwanamke awe mtu mzima ambae ni ndugu yangu ndo hela hapo nitakopa, kuliko kumkopa mdada wa rika langu, ntamfuata mwanaume mwenzangu anikope hela

1)I think wanawake wengi wanapiga mzinga ili kumkomoa mwanaume/kumuumiza mwanaume/ au kwasababu wana roho mbaya/ au kujichukulia kwamba jamii inamuona yeye ni mwanamke lazma apewe hela bila kufanya kazi (entitlement), na sio kwamba mtu ana genuine financial problem, hiyo ndo sisi wanaume hatutaki

2) Wengine wanapiga mizinga kwasababu ya njaa na uvivu a.k.a wanakuuzia k**a indirectly

2)Naona baadhi ya wanaume nao wameanza kupiga mizinga wanawake ili iwe 50/50...sasa mimi sipo huko mumu
Yes,hili ndio nilitaka kulisikia kutoka kwako,..kuna tofauti ya kuomba/kukopa hela na vizinga,..mm mumu frankly mwanaume wangu nimuone kabisaa ana uhitaji wa msaada fulani na mm uwezo wa kumuwezesha ninao haki nampa tena wala sikukopeshi wala sikusimangi tena moyoni nitajawa na amani na furaha kwasababu nime play nafasi yangu kwa mpenzi/mchumba/mume

Lakini kuna hawa vijana kwanza anakuwa na wanawake wengiii kwa ajili ya kubom hela yaani hana mapenzi ya kweli,mnafiki muongo muongo yaani unamuona tuu huyu tapeli,.hivi kweli mmekutana leo kesho kutwa anakuambia muazime laki 2 ya kodi ya nyumba,lazima ujiulize hivi tusingekutana ina maana kodi asingelipaa au?....mwanaume kukosa sio ajabu maana nayy ni binadamu na anahaki ya kusaidiwa inapobidi, lakini kuna wanaume basi tuu yaani kama wanawashwa tena asikuone uko busy na shughuli zako utaombwa mpaka vocha ya jelo hii haipendezi ukizingatia tupo wanawake ambao hatujui kuomba hata hela ya soda kwahiyo ukikutana na hizi sampuli lazima roho ikuume.
 
kwahiyo nyie mkituomba ss wanaume hela, it means nyie wanawake ni matapeli...kama story anayoleta mtoaa mada ni kweli basi ameshajua how we men feel, nyie wanawake mkitupiga vizinga agata edward
Mwanaume ni wajibu wako kumpa mwanamke...Mungu aligawa majukumu so msijilize.
 
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza week mzinga mwingine uniazime milion 1 nitakurudishia next week hapo hajarudisha ile laki kwakweli mimi huwa naboreka sana pale mwanaume anapoanza kujishushia hadhi mapema hivi kwa mwanamke, nachojiuliza ni kwanini uniombe hela mimi? Je kabla hujanijua ulikua una mkopa nani? Kwanini usiwakope rafiki zako au ndugu zako kwanini uje kwangu wakati mimi kwako bado ni mgeni? Hii tabia ni mbaya mno kwakweli naninailaani vikali kwani mahusiano yetu ni ya hela?
Jamani kuna kidume kiminijia nikakiona kistaarabu fulani hivi halafu kitulivu na miahadi kibao mara nataka nikufanyie hivi nataka nikufanyie vile mimi kimya namuangalia tuu maana sijazoea mapenzi kuyalinganisha na vitu sasa mwenzangu yeye nazani anafikiri mimi ni Mwanamke wa dizain hizo zakuona mapenzi ni materialists, mimi mapenzi sio vitu ni mtu mwenyewe sasa mwanaume anapoanza kuniomba hela mimi mtoto wakike ni zaidi ya udhahifu je usingekua unanijua ungeenda kumuomba nani? Nilikua nimekupa credit kibao ila sasahivi umenitoka moyoni kwangu kabisa nimekupa hizo hela kiubinadamu kama mtu tuu sio mpenzi na ole wako usinilipe najua utasoma tuu hapa ukae ukijua mimi sina mapenzi ya hela baba, nanimeshakuona hunifai hata kidogo mschssssxuu!
Upumbavu wenu wa kuangalia wanaume wapaka poda na watunisha vifua ndo wanaume sahihi ndo inayowapelekea kupigwa mizinga,
Vumilia toa tu,si mnapenda ujinga
 
Hahaha kabisaaa wengine hatuna hatia hata kidogo,...si wawapige vizinga wanaowapiga na wao jamanii
Umeona eeeh! Inakera sana kupigwa mzinga wakati wewe hujawahi kumpiga mtu kizinga.

Nje ya mada shemeji yangu (Mr.M )hajambo?
 
Umeona eeeh! Inakera sana kupigwa mzinga wakati wewe hujawahi kumpiga mtu kizinga.

Nje ya mada shemeji yangu (Mr.M )hajambo?
Yaani,hhaahh...hajambo niko nae hapa kapumzika tuu[emoji1][emoji1]
 
Yaani,hhaahh...hajambo niko nae hapa kapumzika tuu[emoji1][emoji1]
Msalimie, naona siku hizi hambebishani kama enzi zile, au kwa kuwa lilikiwa penzi jipya? Ama mlijua mnaiumiza roho hivyo mkawa mnanifanyia kusudi? [emoji134][emoji134][emoji134]
 
Msalimie, naona siku hizi hambebishani kama enzi zile, au kwa kuwa lilikiwa penzi jipya? Ama mlijua mnaiumiza roho hivyo mkawa mnanifanyia kusudi? [emoji134][emoji134][emoji134]
Hehehehe naww ulizidi shosti kutia huruma mpaka mm na Mr Miller tukaona tupunguze speed....ila pendo letu liko palepale....hapa nampepea tuu[emoji4][emoji4][emoji28]
 
Back
Top Bottom