Ondoa shaka kuhusu hilo Chakutaka. Kura za NDIYO zitafurika. Watanzania wana ufahamu mkubwa kuliko unavyodhani na wanajua Muhongo ndiye JEMBE lao.
Aende akalime huko. Sie tutanunua matrekta toka India
Nakubaliana new K-Boko. Nafasi ya uwaziri kwa jembe kama Muhongo haifai. UKUU WA NCHI ndo unamfaa huyu jamaa ili awanyooshe mafisadi walioshindikana, wanaokwiba mali za wananchi kasha kujifanya wanatoa vijimisaada ili kuwapumbaza.
Kilichomponza ni lugha chafu na kudharau waafrika wenzake kumbe kwa vile anajiona ni sehemu ya wazungu, basi apake krimu awe mzungu kabisa
Endeleeni kuota mchana. Hivi kwa nini hamuamini kuwa Kikwete ameshateua waziri wa Nishati mwingine?Sina shaka nawe ndugu yangu, maana umejipambanua kwa ID yako kuwa u MPITA NJIA. Hata huko ulikotekwa kiakili na mafisadi unapita tu. Si muda mrefu utarejea kwenye njia sahihi na utampa kura ya NDIYO Prof. Muhongo.
hehehehehehhehe kweli nyani haoni kundule! mbona nyie safari za ujerumani kila siku, mwatafuta nini kule, au nanyi mwatumiwa!''' yeye anatambuliwa kwa akili zake matata sio nyie mnaojipendekeza
Wakati dunia na mataifa ya Magharibi ya Ulaya na Marekani, yakifanya jitihada kubwa kukusanya wasomi wenye vipaji toka sehemu mbalimbali duniani, kwa ajili ya tafiti na vumbuzi ili kijipeleka mbele zaidi kisayansi na kiteknolojia;
na wakati wasomi wanaosaka maslahi zaidi kimaisha wakiendelea kukimbilia Ulaya na Marekani (Brain drain), Wabunge masilahi Tanzania wanafanya jitihada za kubwa kufukuza na kuwakatisha tamaa wachache wenye nyoyo za Uzalendo.
Profesa Muhongo, ni mmoja wa wanasayansi mahiri katika sayansi ya madini (Geologist), anayetambuliwa na kuheshimika na mashirika mbalimbali ya kisayansi na tafiti ulimwenguni.
Miongoni mwa taasisi zinazoaminika kimataifa zinazomtambua na kumtumia Profesa Muhongo katika uwezo wake wa utendaji wa Kazi ni pamoja na FGSA la Marekani, FGS la London, Uingereza: Hon FCAGS la London, Uingereza; Hon FCGS la China, na Chuo cha kuendelea Sayansi ya dunia (FTWAS).
(Source AL-HUDA)
​kwanini wasimtambua kwa kugawa vitalu vya gas kwa wageni
Msitupotezee muda, wapo wengi kama yeye ndani na nje ya nchi, hawatumii muda wao kupata watu kama wewe kupewa maelekezo yakutuletea humu. wacha watu wamuelewe prof Muhongo wanavyo mfahamu.
Sasa ni kama prof Muhongo anajidhalilisha au ana dhalilishwa na hao wanao fikiri wanamjenga. aendelee kutambuliwa duniani kwa utaalam wake, atabaki kutambuliwa ni Mtanzania tu, lakini kwa hapa nyumbani ameambiwa na prof mwenzake atupishe hatoshi.
Fisadi Mengi pia anamtambua, kamwulize. Alidhani atajichotea tu vitalu vya gesi kama alivyofanya kwenye madini kwa kumiliki 'Dar es Salaam tatu' bila kuziendeleza wala kulinufaisha Taifa kwa kisingizio cha UZAWA!! Kwa Prof. Muhongo alikwama na hatokaa apate, maana naamini hata uongozi mpya wa wizara ya nishati na madini hautampa fursa hiyo. Mfikishie salamu.
Endeleeni kuota mchana. Hivi kwa nini hamuamini kuwa Kikwete ameshateua waziri wa Nishati mwingine?
Mtabwabwaja sana mwaka huu. Mwanasayansi ndio kaisha tambulika hivyo. Kama vipi panda kazifute hizo Awards alizopewa kama wewe Kipanga zaidi yake!
​nani akamuulize???labda Shangazi yako akamuulize...........halafu usiniquote maana sitakujibuFisadi Mengi pia anamtambua, kamwulize. .
Hata wakati wa kupiga kura nitapita njia tuYes, Rais kateua waziri wa nishati mwingine, baada ya JEMBE MUHONGO KUAMUA MWENYEWE KWA RIDHAA YAKE KUONDOKA. Ila sisi wapenda maendeleo tungali tunamhitaji sana. Baada ya kupita njia, mwishoni mwa safari yako ya upita njia (ambayo si muda mrefu) utapiga kura za ndiyo kwa JEMBE au sio?
Yes, Rais kateua waziri wa nishati mwingine, baada ya JEMBE MUHONGO KUAMUA MWENYEWE KWA RIDHAA YAKE KUONDOKA. Ila sisi wapenda maendeleo tungali tunamhitaji sana. Baada ya kupita njia, mwishoni mwa safari yako ya upita njia (ambayo si muda mrefu) utapiga kura za ndiyo kwa JEMBE au sio?