Taarifa ya serikali juu ya mgomo wa madaktari

Taarifa ya serikali juu ya mgomo wa madaktari

Kanuni ya bunge imewanyima wabunge kujadili ripoti ya serikali kuhusu mgomo wa madaktari
eti wamesikia upande 1 hawajasikia upande wa madaktari, najiuliza yale madai ya madaktari aliyoyasema mizengo pinda aliyatoa wapi? NA HAYA ALIYOYASEMA WAZIRI WA AFYA AMEYATOA WAPI? WAMEYATUNGA AU?
 
nchi pekee isiyo kuwa na dira ni tanzania......watanzania amkeni..
 
Mgomo wa Madaktari ni wa kitambo sana, kama ulivyo mgomo wa Walimu... Tunachokiona hapa ni muendelezo wa mgomo...
 
viongozi wenu ni wazembe na wauaji..wanasingizia watu kuwa wamekufa kumbe wako hai.....amkeni ninyi watu..nchi ina miaka 6 haina rais na ninyi mnaona ni sawa!!!....piganieni taifa lenu
 
Hii ni dalili ya kulazimisha mambo na kuishia kulagai wananchi biila kuleta suluhisho la tatizo.
 
Tupe mwongozo kuhusu hicho cheti.

Ni cheti cha kumaliza shule yake MUHimbili au cheti cha kumaliza Intern?
mkuu huwa iko hivi.....
ukimaliza miaka ile ya darasani unakuwa umeshafuzu na kuwa Daktari na unakuwa na cheti kabisa....huwezi kwenda mafunzo kwa vitendo kama hujafaulu huku kwingine.....ni kuwa ile unakuwa unafanya practizi tu ya kazi....unaweza kuachana na inters yao na kwenda nchi nyingine na kuwa dr kama hawana policy ya kutoa leseni au unapata leseni ya kule unakoenda.....

so Dr uli ni daktare wa ukweli....huu ujinga anaongea pinda na mponda wakaewaeleze ma girl frends zao....
 
Hii ni dalili ya kulazimisha mambo na kuishia kulagai wananchi biila kuleta suluhisho la tatizo.


na ninyi kwa nini mnakubali kulaghaiwa?? .......amkeni ninyi watu...
 
nadhani waziri wa afya na watendaji wenzake wa wizara wanahitaji kufanyiwa brain transplant, tena wawekewe ubongo wa mtoto wa miaka 9 maana wakiwekewa ubongo wa mwanajamii forum mmoja hawataweza kuamka kutoka kwenye dawa ya usingizi!
 
mijitu mingine bwana inataka mgomo huendelee tu huku wenyewe wanadunda barabarani ngoja ndugu zenu wapewe referal kutoka huko bara, ndio mtakapojua. Watu wanashabikia tu. Wabunge waliwahi kusema wanaoona wao wanafaidi waende wakapambane nao majimboni kwao ili nao waingie
 
watanzania tengenezeni shujaa wenu mwingine..mwalimu alishatngulia mbele za haki..ondoen hao
 
MAT ni chama (association) siyo bodi. Association ni ya madaktari wenyewe na si ya serikali, na inasajiriwa kama NGO. Bodi ya madakatari inaitwa "Medical Council Tanganyika Medical" hii ndiyo bodi ya serikali inayosajiri na kuangalia nidhamu za madaktari kitaaluma.

Katika taaluma za afya bodi za serikali ni hizi zifuatazo:
  1. Optical Council of Tanganyika
  2. Medical Council of Tanganyika
  3. Pharmacy Board
  4. Tanzania Nurses and Midwives Council
  5. Private Health Laboratories Board
  6. Nurses and Midwives Council
Zote hizi sio "Professional BOards" kama NBAA, ERB. Hazikuanzishwa kwa "Act" yoyote ya Bunge. Hazina nguvu sana kisheria.
 
Tanzania is being looted. Tanzanians are fast asleep. Wake up for your sons and grandsons!
 
Waziri amesema Ulimboka sio daktari na anashangaa alipataje kuongoza kamati ya kudai haki za madaktari. Alifukuzwa mwaka 2005 na kuomba msamaha kwa Rais hakufafanua kama alipewa au la. Waziri anamwita bw. Ulimboka kwa sababu si Dk.
Wewe ni mpumbavu na hujui ni nini unachoandika humu. Tuliosoma na Ulimboka na waliotufundisha darasana wanamkubali Ulimboka. You are useless. Unamwaga haja kubwa kwny thread zinazowahusu madaktari pasi hujui lolote. Ambaye si Docta ni Mponda na siyo ulimboka you stupid Raia Mwema
 
hivi watanzania mna tizo gani.....kwa nini mnakubali kuburuzwa namna hii..rais muongo, waziri mkuu ndo usiseme, spika wa bunge mungo mkubwa na anatumiwa....ninyi watu amkeni ili mpate mstakabali wa taifa lenu....
 
Hivi sasa anamuatack Dr Ulimboka na kumwita Bw Ulimboka kuwa hana usajili wa bodi ya maDR, na pia alihusika ktk kuanzisha mgomo wa 2005, na pia sio mtumishi wa serikali. Je hii ndo taarifa tunayoisubiri??????

Isue hapa sio ulimboka hata kama angekuwa zimwi haitupi shida kinachotakiwa ni hoja za madaktari. serikali isikwepe hoja za msingi ijib tuhuma
anachojaribu kufanya ni kushusha imani ya madaktari kwa wananchi kitu ambacho hawezi coz wananchi wanfahamu fika nani mbaya wao.

inakuwaje anasema MAT iliendeleza mgomo? wakati ilifanya juhudi za kutosha za kutatua mg_ooro na pinda alikili hili lakini hawakutaka kuwasikiliza?

SERIKALI IWAJIBIKE IACHE PROPAGANDA..
 
jamani huyu waziri ni kiazi kweli, sijui mkuu wa kaya alimuokota wapi huyu mpogoro/mndamba
'kibandiko' mwenzake...kenge waliomchagua kikwete 2010 pamoja na kwamba alishashindwa mtihani 2005-2010 wametu cost sana...naomba haya madhila tunayoyapata kwa upande wao yawe makali zaidi ili wajifunze somo.
 
Mgomo wa Madaktari ni wa kitambo sana, kama ulivyo mgomo wa Walimu... Tunachokiona hapa ni muendelezo wa mgomo...
nilishasema huu mgomo haukuibuka kama ajali migomo yeyote ile kunakuwa nadalili zoote ukizingatia raisi anavyombo vyake vinavyompelekea taalifa waache kutuona sisi wajinga. wangeweza kumaliza mapema sana, halafu hawataki waitwe vilza wakati ni kweli wao vilaza!
 
madaktari wakianza kazi wanalipwa laki 9 na nusu tofauti na madai kwamba wanalipwa laki 7. Mhandisi akianza kazi analipwa laki 6 na mhasibu laki 4

Mhandisi anaweza kuchakachua kwenye manunuzi ya vifaa vya ujenzi,
Mhasibu yeye anacheza na voucher,
Mwanasiasa anatishia kuibua hoja ya kutokuwa na imani na sirikali,

Dokta anasema siwatibu bila hela inayofikia milioni tatu na nusu,

Sasa hapa nadhani kila mtu anayejidai ni bora kuliko mwingine ajiulize kama ubora wake una maana yoyote bila kuwepo watu wa kuwahudumia? (mwanasiasa ajiulize, daktari ajiulize, kadhalika mtu yeyote mwingine).

Kiuchumi hata hivyo inaaminika "the higher the demand the higher the price", mgomo wa madaktari utaongeza uhaba wao na hivyo wachache waliobaki watapanda bei.
 
Back
Top Bottom