Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
madakatari 21 bado hawajarudi MOI muhimbili
Hapo pamenishtua,
wamesalitiana?
Kwahiyo hao 21 ndio kafara...
madakatari 21 bado hawajarudi MOI muhimbili
Jana nilisema Mhe. Job Ndugai ni dictator mbaya na hatari zaidi kuliko hata Mama Makinda!.
Hapo pamenishtua,
wamesalitiana?
Kwahiyo hao 21 ndio kafara...
ametoa nje tena?
MAT ni chama cha madaktari wa Serikali? Mbona naiona MAT kama professional body kama NBAA,ERB nakadhalika kwamba ukijiunga unapata utambulisho kwamba wewe ni daktari unayetambuliwa nchini kulingana vigezo vilivyowekwa na haimaanishi kwamba wewe sio daktari! Sasa yawezekanaje Dr Ulimboka asiwe na sifa akawa mwanachama mpaka kuwa kiongozi? Na je issue nini mpaka sasa uhalali wa Ulimboka kuwa Dr au mgomo wa madaktari?
Iko humu muda mrefu sana mkuu itafute utaipataMwenye profile ya Waziri Mponda amwege huku tumjue vizuri zaidi.
MAT ni chama (association) siyo bodi. Association ni ya madaktari wenyewe na si ya serikali, na inasajiriwa kama NGO. Bodi ya madakatari inaitwa "Medical Council Tanganyika Medical" hii ndiyo bodi ya serikali inayosajiri na kuangalia nidhamu za madaktari kitaaluma.
Katika taaluma za afya bodi za serikali ni hizi zifuatazo:
- Optical Council of Tanganyika
- Medical Council of Tanganyika
- Pharmacy Board
- Tanzania Nurses and Midwives Council
- Private Health Laboratories Board
- Nurses and Midwives Council
juta pia na kutusimulia humu yaani nimepandwa na hasila kwa masimulizi yako mpaka mwili umesisimka duuu. kweli bokoharam yaja!najuuuuuta kuangalia na kusikiliza kauli ya serikali juu ya mgomo wa madaktari. Heri ningesikiliza kipindi cha hizi nazo redio one nipooze machungu ya serikali jingajinga kama hii ya ******
dk ulimboka ni daktari na baada ya kumaliza intern alipewa cheti mwaka 2007...huyo waziri anarudia matapishi ya pinda!!!
Mwenye profile ya Waziri Mponda amwege huku tumjue vizuri zaidi.
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Dr. Hadji | |
Middle Name: | Hussein | |
Last Name: | Mponda | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Ulanga Magharibi | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | P.O. Box 9083, Dar Es Salaam | |
Office Phone: | +255 783 003 635 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | hmponda@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 27 September 1958 |
EDUCATIONS | ||||
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Manda Chini Primary School | Primary Education | 1967 | 1970 | PRIMARY |
Nawenge Primary School | Primary Education | 1971 | 1973 | PRIMARY |
Minaki Secondary School | O-Level Education | 1974 | 1977 | SECONDARY |
Tosamaganga Secondary School | A - Level Education | 1978 | 1980 | HIGH SCHOOL |
Mzumbe University | Business Management | 1984 | 1987 | ADV DIPLOMA |
London Univeristy | Public Health | 2003 | 2004 | MASTERS DEGREE |
Mzumbe University | Material Management | - | GRADUATE | |
London Univeristy | Public Health | 2007 | 2010 | PHD |
CERTIFICATIONS | |||
Certification Name or Type | Certification No. | Issued | Expires |
No items on list | |||
EMPLOYMENT HISTORY | |||
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Ulanga West Constituency | 2010 | 2015 |
Ministry of Health and Social Welfare | Minister | 2010 | Todate |
Ifakata Health Institute | Research Scientist | 1996 | 2010 |
National Development Corporation | Commercial Manager | 1989 | 1996 |
National Development Corporation | Commercial Officer | 1983 | 1989 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Youth Commander | 2009 | |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Member of Political Committee | 2005 |
ukweli hauwezi kufichwa daima, wananchi wanaujua ukweli. Najua baadhi ya wanachi wanaweza kuumia lakini kila mtanzania sasa anaelewa nini maana ya kupiga kura, kuchagua viongozi
aiseee sasa unawaambia wana JF au waziri Mponda?? maana naona hotuba yake yote anamzodoa Dr Ulimboka?....Nafikiri wa JF inabidi mbadili mtazamo. Ni vizuri sana kujadili hoja na sio kumjadili mtu.
Punguzeni Jazba na kujadili hoja.