analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Hivi ndivyo serikali ilivyouelezea mgomo wa Madaktari Bungeni
- Mgogoro ulianza baada ya madaktari wa mafunzo ya vitendo kugoma kwa jili ya kutaka malipo yao
- Serikali iliwapa malipo yao
- Lakini waliendelea na mgomo
- MAT iliingilia kati na kuendeleza mgomo
- MAT ikaunda kamati ya muda na kuendeleza mgomo
My Take
Taarifa imeegemea ktk kukandamiza madai ya msingi ya mgomo huo.
Serikali makini hujali watu wake na hutumia njia za hekima kutatua disputes zinazojitokeza kwenye jamii
- Mgogoro ulianza baada ya madaktari wa mafunzo ya vitendo kugoma kwa jili ya kutaka malipo yao
- Serikali iliwapa malipo yao
- Lakini waliendelea na mgomo
- MAT iliingilia kati na kuendeleza mgomo
- MAT ikaunda kamati ya muda na kuendeleza mgomo
My Take
Taarifa imeegemea ktk kukandamiza madai ya msingi ya mgomo huo.
Serikali makini hujali watu wake na hutumia njia za hekima kutatua disputes zinazojitokeza kwenye jamii