Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Anasema madaktari wanapata mshahara mkubwa kuliko watumishi wengine wote wa serikali
Pasco tafadhali weka hilo tamko hapa!
anasema yeye na kina ghasia walikutana na ulimboka kujadili, SASA KAMA HAWAMTAMBUI ULIMBOKA ILIKUWAJE WAKUTANE NAYE KUJADILI MGOGORO?
anasema yeye na kina ghasia walikutana na ulimboka kujadili, SASA KAMA HAWAMTAMBUI ULIMBOKA ILIKUWAJE WAKUTANE NAYE KUJADILI MGOGORO?