Hiyo attachement ya NCHIMBI kwa vyombo vya habari.
Hii haivurugi uchunguzi wa kamati aliyoteua?
Who is telling the truth here? The Media or Nchimbi?
Jana kwenye magazeti tulisoma kwamba mtuhumiwa wa mauaji ya Daudi Mwangosi ni PC Pacificus Cleophace Simon (23), mwenye namba G2372.
Taarifa ya Nchimbi inazungumza kitu tofauti. Kwamba huyo askari ni PASIFIOUS mwenye namba G.2573.Tumwamini nani hapa kati ya vyombo vya habari na waziri Nchimbi?
Apo ndo ukisikia kujichanganya. Yani hili suala lina mkanganyiko sana mara tume, kamati,flying object, vurugu za wananchi, vurugu za chadema, kafara za chadema, barua ya kuandikiwa haijitoshelezi haina address ya wizara mara kikwete hajatoa rambirambi mara tindu lissu ndani kesi ya lema,.This country bhana full tabu tupu.
Mkuu kuongezea tungeleimwona wa maana kama angelimsimamisha kazi IGP, RPC Iringa na kiongozi wa operation ya kusambaratisha mkutano wa CDM Nyololo!!!!Kijana wa watu katolewa kafara bure watoa amri ya kubeba mabunduki na kulipua watu wanapeta tuu!!!Nchimbi kama mnashirikiana na waandishi wa habari wangekutimua Jangwani jana. Hii ni kuonyesha eti unafanya kazi. Ungefanya jambo la msingi na tukakuona shujaa kama ungetangaza kuachia ngazi
Mkuu huo mkanganyikowa number ya huyo askari unaweza kuamsha zile Hisia kuwa huyo aliyehusika hakuwa Real Askari bali ni Askari wa kichina from Magamba camps.:wacko:
Kweli udakitatari(PhD) wa kuchakachua at work
How ironic, the letter is signed with green ink.
I doubt the "Dr." knows the meaning.
Mimi mpaka sasa naamini kajiuwa mwenyewe.
Mtoto wangu anajuwa FFU akikwambia tawanyika unatawanyika na huendi kumvaa mkubwa wao, anjuwa hiyo inakuwa ni suicide. Na mtu aliyedhamiria kumwaga damu tu ndio anakuwa hivyo.
Tunaelewa Slaa alimtumia sms ipi Mwema, sasa tunataka kuelewa na hao "wapiganaji" wake aliwatumia sms zipi.
Tukichukulia hiyo ya Slaa tu kwa Mwema, ni nini cha kulalamika hapo?
Ndio wenyewe mmejiona wajanja hapo? kuuwana halafu kusingizia Polisi. Ya Morogoro mliona mmeikosea, hii mkahakikisha mnamsambaratisha.
Tamko litakuja usiwe na shaka, ngoja ukamilike uchunguzi mpaka sasa inaonesha ni suicide mission.
Huyu jamaa ana kiwewe .
Baada ya kuwatetea wauaji kwa nguvu namna hii
Sasa baada ya tamko hili
Sijui Zomba unasemaje?
Nasema kajiua mwenyewe, hujasoma vizuri nyuzi zangu, huyo askari alikuwa kazini na huyo Daudi kamvaa mkuu wa kazi wa huyo askari, ulitegemea nini? ampige na chelewa?