Taarifa ya Nchimbi kwa wanahabari

Mwnakijiji
Mbona jazba zimekuwa nyingi? Uchunguzi lazima uwe na mwanzo kama wameanza na mmoja si tatizo labda kwa ushauri mwanakijiji ulitaka waanze na wangapi? Ila tu kumbuka uchunguzi hautaishia kwa aliyeua utakapo kwenda mbali usije kesho ukaugeuka na kudai ni mbinu za serikali makini ya CCM kuua upinzani!

Chama
Gongo la mboto DSM

Akili za maccm zimekaa kimakengeza wala hupati shida kuwatambua.
 
Akili za maccm zimekaa kimakengeza wala hupati shida kuwatambua.


Na ukipata shida kuwatambua nawe utakuwa na makengeza vilevile.

:focus:
Inaonekana wanaccm wanafurahia sana huo msiba, na wanajaribu kuihusisha chadema ili kuichafua. Tatizo linakuja kwenye strategy za kuihusisha moja kwa moja, remeber hapa hakuna flying object.
 
Sijui !!!!

Hata mimi sijui kwa nini Kamhanda hajaondoka kwa kutudanganya kuwa bomu lilipuliwa na kutupwa na waandamanaji??????.Kamhanda pamoja unakaribia kustaafu achia ngazi JK muondoe Kamhanda haraka anatia kichefuchefu na aibu ni kubwa sana kwake.
 
RPC RPC RPC! Yeye ndiyo aliyetoa order polisi wamuue Mwangosi coz alikuwa eneo la tukio tena akashuhudia sasa hapa sijui anaachwaje.
Wale mapolisi wengine mbona wanaachwa. Kama huyu RPC nae alipewa order auwe abanwe awataje up to the top Nchimbi hili linakuhusu likikushinda wajibika kwa kujiuzulu
 
390487_180553948747468_1690226419_n.jpg

Jamani nimejitahidi kusoma nielewe hii taarifa sipati picha anaongelea nini, huyu aliyeandikaa ni waziri mwenyewe, si ana PHD huyu?!
 
Pamoja na yote, angalau kuna ahueni, lakini ilijulikana ni bomu ila Nchimbi ukaleta ubishi kuwa ni kitu chenye ncha kali, duh! Next time Mh. Waziri, Dkt. Emmanuel Nchimbi uwe unasoma alama za Nyakati na si kukurupuka!
 
Uchunguzi wa kamati hauna maana tena kwasababu kesi imeshafikishwa mahakamani. Kwahiyo kulizungumzia swala hilo kwa namna yoyote ikiwa ni pamoja na kamati kutoa majibu yake na kuyatangaza hadharan kabla ya hukumu ya mahakama kutolewa itakuwa ni kuingilia uhuru wa mahakama.

Serikali ni kama imeshalizika jambo hilo tayari. Inaniuma sana!
Hivi kamati inaweza kuendelea na kazi wakati suala liko mahakamani? Hata Bunge huwa linazuiliwa. Hapa vipi?
 
Barua inayoonyesha uthibitisho wa askari aliyemwua David Mwangosi kufikishwa mahakamani pekee haitoshi. Mwangosi kauawa kinyama sana. Maneno maneno peke yake hayatoshi kufuta damu yake iliyomwagika kutokana na ukatili na ubabe wa baadhi ya watendaji wa jeshi la polisi.

Ni nani aliyetoa amri ya Mwangosi kuuawa? Aliyeuwa kakamatwa na kufikishwa mahakani. Viongozi wake waliomwamuru kufanya hivyo wako wapi? Kwa nini watenda maovu mnalindana? vyeo vyenu ni dhamana tu. Haki itendeke na bila aibu wahusika wawajibike kwani wanafahamika.

Mauaji ya wafanya biashara wa madini wa Mahenge yaliyofanywa na askari polisi,yalifanyiwa kazi kwa bidii sana baada ya mkuu wa nchi, Rais Kikwete kuingilia kati na kuleta matumaini kwa wanainchi! Kwa nini viongozi wengine wasiige mifano ya wakubwa zao katika utendaji wenye tija kwa Taifa na uwajibikaji?

Mheshimiwa Rais,sema neno moja tu na roho zetu zitapona.
 
pumba** ,mi nimeshachoka na huu upuuzi,na huyo dogo katolewa kafara!tupo hapa tutackia 2
 
Something is seriously wrong with the Minister...definately..

Blaming & critizing the Minister, without pointing out WHAT IS WRONG....i.e " reasons why he is wrong" is wrong doing too....tell us ur alternatives, should he keep quite with that report..? shouldn't he..?
 
Jamani nimejitahidi kusoma nielewe hii taarifa sipati picha anaongelea nini, huyu aliyeandikaa ni waziri mwenyewe, si ana PHD huyu?!

Mheshimiwa waziri anataka ujitahidi sana kusoma na kuielewa taarifa na kupata picha kamili kuwa " Baada ya Mwangosi kuuawa,sasa hivi mkondo wa sheria uliokuwa haufuatwi umeanza kufuatwa(baada ya kuuwa kikatili) kwa kumfikisha mwuaji mahakamani.
 
Mwangosi aliuawa akikatili na POLIS akiwa kazini, vip kuusu VITENDEA KAZI VYAKE? uchunguzi unasemaje kuusu ili?
 
...Nchimbi ni waziri asiyejiweza, wa kutupwa asiyejua anachokifanya, nnashangaa hata hiyo Phd aliipataje?Nimejiuliza maswali haya bila kuwa na majibu
1.Hivi ni kazi ya waziri wa mambo ya ndani kumuelekeza IGP kumpeleka muuaji mahakamani?
2.Yule RPC aliemuamrisha askari kwenda eneo la tukio yy hana kosa?
3.Ni uchunguzi gani uliofanywa kubaini kuwa ni bomu la machozi-ambao ulikuwa haufahamiki?
They should stop playing with our mind.....
 
something is wrong somewhere.
sidhani kama barua kama hii imeandikwa na waziri tena msomi
na mashaka na barua yenyewe haina hata anuani ya wizara labda ni barua feki wadua
some one to prove me wrong? if yes basi hatuna waziri hapa.
 
dr acha uchokozi kwani we mwanachama wa hii kitu?

something is wrong somewhere.
sidhani kama barua kama hii imeandikwa na waziri tena msomi
na mashaka na barua yenyewe haina hata anuani ya wizara labda ni barua feki wadua
some one to prove me wrong? if yes basi hatuna waziri hapa.
 
kwa nin atolewe kafara huyo askari wakati walikua wengi kwenye kumuua Mwangosi?is not fair.
 
Back
Top Bottom