Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mwnakijiji
Mbona jazba zimekuwa nyingi? Uchunguzi lazima uwe na mwanzo kama wameanza na mmoja si tatizo labda kwa ushauri mwanakijiji ulitaka waanze na wangapi? Ila tu kumbuka uchunguzi hautaishia kwa aliyeua utakapo kwenda mbali usije kesho ukaugeuka na kudai ni mbinu za serikali makini ya CCM kuua upinzani!
Chama
Gongo la mboto DSM
Akili za maccm zimekaa kimakengeza wala hupati shida kuwatambua.