Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Ni kawaida kusikia Tamko la kulaani au kupongeza, likitolewa haraka na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,inayoratibiwa na Bwana Rweye. Sasa ninahoji;
Kwanini Ikulu inakuwa kimya kuongelea, walau ku- sympathies maafa haya ya RAIA? Je kuna haki iliyokubwa zaidi ya KUISHI? Je Ikulu haioni umuhimu wa kusema chochote, hasa kwa jambo la msingi kama hili la mfululizo wa Mauaji ya Raia, tena chini ya POLISI? Au kwao (IKULU) Uhai wa walalahoi hauna maana ya kutolewa tamko?
Nauliza tu!!
Kwanini Ikulu inakuwa kimya kuongelea, walau ku- sympathies maafa haya ya RAIA? Je kuna haki iliyokubwa zaidi ya KUISHI? Je Ikulu haioni umuhimu wa kusema chochote, hasa kwa jambo la msingi kama hili la mfululizo wa Mauaji ya Raia, tena chini ya POLISI? Au kwao (IKULU) Uhai wa walalahoi hauna maana ya kutolewa tamko?
Nauliza tu!!