Taarifa ya Msiba..

Taarifa ya Msiba..

Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..

'ungeacha japo namba ya simu kama mtu angependa kutoa rambirambi aweze kutoa mkuu sio kila mtu anasema pole tu MUNGU hivi MUNGU hivi haisaidii hiyo mtu keshakufa keshakufa toeni rambirambi sio...'
 
Pole sana,
Poleni wote mlioguswa na msiba wa baba mzazi wa mwana jf mwenzetu,
Pole mno.

Uko mkoa gani kwani?

Asante sana ,Mungu awabariki kwa Kunitia nguvu..
Amefariki ghafla Peramihi hispital,Alikwenda ki biashara.. Maziko ni Kulekule hivyo niko njiani..
 
'ungeacha japo namba ya simu kama mtu angependa kutoa rambirambi aweze kutoa mkuu sio kila mtu anasema pole tu MUNGU hivi MUNGU hivi haisaidii hiyo mtu keshakufa keshakufa toeni rambirambi sio...'

0713 766203
Namba hiyo hapo mkuu!!
 
Pole sana mkuu mwenyezi Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
 
Back
Top Bottom