NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,440
- 2,450
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
'ungeacha japo namba ya simu kama mtu angependa kutoa rambirambi aweze kutoa mkuu sio kila mtu anasema pole tu MUNGU hivi MUNGU hivi haisaidii hiyo mtu keshakufa keshakufa toeni rambirambi sio...'