Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
Pole sana mkuu Mungu akupe Faraja uweze kuupokea msiba uliokupata.
Vipi kuhusu mazishi na mipangilio mingine kwa walio karibu na eneo la tukio?
Pole sana kwa Msiba
Pole sana mkuu Mungu akupe Faraja uweze kuupokea msiba uliokupata.
Vipi kuhusu mazishi na mipangilio mingine kwa walio karibu na eneo la tukio?
Pole kiongozi...mauti ni njia pekee ambayo kila nafsi hai itapita! Mungu akupeni nguvu na kukuimarisheni!
pole sana mkuu...
Pole kwa msiba. Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Pumzika kwa amani baba.
Pole sana mkuu.
Pole sana mkuu!!!!!
Pole sana mkuu. Jipe moyo.
===========================
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama vile kivuli, wala hakai kamwe. AYUBU 14: 1 - 2
mungu akutie nguvu. pole sana mkuu
Pole sana mkuu.
Pole sana mkuu.
Mungu amrehemu baba.
Hakuna kitu kigumu kama kuondokewa na mtu umjuaye! Uliyemzoea na uliyempenda.
Pole sana ndugu yetu. Mungu akutangulie kipindi chote hiki kigumu kwenu nyote wanafamilia.
Raha ya milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie, Apumzike kwa Amani