Taarifa ya Msiba..

Taarifa ya Msiba..

Pole sana mkuu Mungu akupe Faraja uweze kuupokea msiba uliokupata.
Vipi kuhusu mazishi na mipangilio mingine kwa walio karibu na eneo la tukio?


Mkuu asante ,nashukuru kwa utayari wako..
Nitasafiri kesho kwenda Songea kwa maziko.. Nipo kwenye harakati za kuweka mambo sawa.. Sina ndugu wa Damu Hapa Town ..Ila ninao ndugu wengi wewe ukiwa mmoja wao..
Ubarikiwe sana.
 
Pole sana mkuu Mungu akupe Faraja uweze kuupokea msiba uliokupata.
Vipi kuhusu mazishi na mipangilio mingine kwa walio karibu na eneo la tukio?


Asante ,nashukuru kwa kuniunga..
Lord bless u..
 
Pole sana mkuu. Jipe moyo.
===========================

Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama vile kivuli, wala hakai kamwe. AYUBU 14: 1 - 2

Amen.. Ubarikiwe!
 
Pole sana,
Poleni wote mlioguswa na msiba wa baba mzazi wa mwana jf mwenzetu,
Pole mno.

Uko mkoa gani kwani?
 
Hakuna kitu kigumu kama kuondokewa na mtu umjuaye! Uliyemzoea na uliyempenda.
Pole sana ndugu yetu. Mungu akutangulie kipindi chote hiki kigumu kwenu nyote wanafamilia.
Raha ya milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie, Apumzike kwa Amani
 
Hakuna kitu kigumu kama kuondokewa na mtu umjuaye! Uliyemzoea na uliyempenda.
Pole sana ndugu yetu. Mungu akutangulie kipindi chote hiki kigumu kwenu nyote wanafamilia.
Raha ya milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie, Apumzike kwa Amani

Amen..
Jina lake Bwana lihimidiwe..
 
Back
Top Bottom